A Peculiar people
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 612
- 773
Watajipinga tu overtime havina mudaCcm yenyewe haiwezi jiondoa kwenye madaraka
Huu uongo nyerere aliowadanganya ilihali yeye ndo chanzo cha huu uozo wote
Katengeneza tatizo a.k.a mifumo mibovu alafu badae anafanya unabii
Urasmi gani inatakiwa hapo, wakati mtoa shutuma ni Lisu, makamu mwenyekiti wa chadema??Ajibu nini wakati hajapelekewa hizo tuhuma rasimi.
Kwahiyo unataka Katibu akisikia tuhuma mitandaoni anaita press kujibu.Urasmi gani inatakiwa hapo, wakati mtoa shutuma ni Lisu, makamu mwenyekiti wa chadema??
Lisu angekuwa kama mm au wewe tungesema tuhuma siyo rasmi.
Lisu aliitisha press, hakuandika mitandaoni na makamu mwenyekiti wa chama. Kauli yake haipuuzwi na watanzania bali inavhukuliwa kwa uzito.Kwahiyo unataka Katibu akisikia tuhuma mitandaoni anaita press kujibu.
Yeye ni Ni. 2Ukiona kajitokeza kutuhumu hadharani, ujue mifumo ya maaumuzi huko ndani imefubaa.
Acha Uzezeta wa fikra, michango ya Lissu aliyochangiwa na kila Mtanzania ni kwanini iingie kwenye Akaunti za Chama?kwani michango binafsi aloomba makamu mwenyekiti kuchangiwa kupitia platforms za chadeama imeenda kwenye mfuko wa nani na kwa maslahi ya nani?
relax basi na uwealeze wadau taratibu gentlemanAcha Uzezeta wa fikra, michango ya Lissu aliyochangiwa na kila Mtanzania ni kwanini iingie kwenye Akaunti za Chama?
Namba 2 ceremonial tu.Yeye ni Ni. 2
Kwa nini asijiuzulu kwanza?Namba 2 ceremonial tu.
Ndio anataka kuhamia hiyo ya kwanza ya maamuzi. Mbowe arudi kwenye hiyo namba 2.Kwa nini asijiuzulu kwanza?
Wewe muamala wako wa kazi yako ya Uchawa wa Lumumba kitengo cha JF Dr. Nchimbi huwa anautuma kwenye akaunti za CCM?sasa sia aombe kuchangiwa bila kutumia pltfoms za chadema?
Hataki tuhuma za jumla jumla, lkn yeye anatoa majibu ya jumla jumla.
Nilitegemea kwa nafasi yake kama katibu mkuu ajibu hoja baada hoja ktk hotuba ya Lisu iliyoleta sintofahamu miongoni mwa wanachama.
A good dance must know when to leave the stage. Kama Mbowe ataendelea kusikiliza chawa wake badala ya kusikiliza ukweli basi ataharibu kazi aliyo ifanya kwa guvu na mateso kwa mda mlefu sana. Majuto ni mjukuu.Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amejibu tuhuma za Tundu Lissu, adai tuhuma zenye ushahidi kupelekwe kwenye vikao vya Kikatiba vya Chama
"Ikiwa kuna kiongozi yeyote au mtu yoyote kwa maana ya mwanachama wa CHADEMA anatuhuma dhidi ya yeyote aziwasilishe ili zishughulikiwa kwa mujibu wa Katiba, Itifaki na maandili ya Chama na sikutoa tuhuma za jumla jumla"
View attachment 3177933
Pia, Soma:
• CHADEMA hali inazidi kuwa tete. John Mrema asema kama kuna ushahidi wa tuhuma za Rushwa uwasilishwe haraka kwaajili ya hatua za kinidhamu
Kaambiwa apeleke tuhuma rasimi ofisini na sio mlimani city.Lisu aliitisha press, hakuandika mitandaoni na makamu mwenyekiti wa chama. Kauli yake haipuuzwi na watanzania bali inavhukuliwa kwa uzito.
. Kama Kuna jambo siyo sawa, Mnyika alipaswa kulitolea ufafanuzi badala ya kujificha kwenye urasmi wa taarifa. Vinginevyo watu wataamini.
relax tu gentleman,Wewe muamala wako wa kazi yako ya Uchawa wa Lumumba kitengo cha JF Dr. Nchimbi huwa anautuma kwenye akaunti za CCM?
Zitafanyiwa kazi akizipeleka? Yawezekana anajua mizengwe iliyomo ndani ndiyo maana Kaona amwage mchele kwenye kuku wengi.Kaambiwa apeleke tuhuma rasimi ofisini na sio mlimani city.
Kwahiyo hao kuku wengi watamsaidia nini, yeye aukubali mfumo wa Chadema alioukuta kama ambavyo Msigwa kaukubali mfumo wa CCM alioukuta.Zitafanyiwa kazi akizipeleka? Yawezekana anajua mizengwe iliyomo ndani ndiyo maana Kaona amwage mchele kwenye kuku wengi.
Kwahiyo unakubali kuwa ccm = chadema? Na kama ndivyo unaushawishi vipi umma kuachana na ccm ikiwa kinachofanywa ccm ni sawa na kinachofanywa chadema??Kwahiyo hao kuku wengi watamsaidia nini, yeye aukubali mfumo wa Chadema alioukuta kama ambavyo Msigwa kaukubali mfumo wa CCM alioukuta.