John Mnyika ajibu tuhuma za Tundu Lissu kuhusu rushwa, adai tuhuma zenye ushahidi kupelekwe kwenye vikao vya Kikatiba vya Chama

John Mnyika ajibu tuhuma za Tundu Lissu kuhusu rushwa, adai tuhuma zenye ushahidi kupelekwe kwenye vikao vya Kikatiba vya Chama

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amejibu tuhuma za Tundu Lissu, adai tuhuma zenye ushahidi kupelekwe kwenye vikao vya Kikatiba vya Chama

"Ikiwa kuna kiongozi yeyote au mtu yoyote kwa maana ya mwanachama wa CHADEMA anatuhuma dhidi ya yeyote aziwasilishe ili zishughulikiwa kwa mujibu wa Katiba, Itifaki na maandili ya Chama na sikutoa tuhuma za jumla jumla"
View attachment 3177933
Pia, Soma:

CHADEMA hali inazidi kuwa tete. John Mrema asema kama kuna ushahidi wa tuhuma za Rushwa uwasilishwe haraka kwaajili ya hatua za kinidhamu
Mnyika yuko sahihi Lisu mwehu amekuwa makamu mwenyekiti miaka kibao ina maana yeye ni sehemu ya uongozi wa juu wa chama ofisi kuu kitaifa ya mwenyekiti yeye kama makamu

Kama hakubaliani chochote na mwenyekiti kwa nini hakupekeka vikao husika vya Chadema akiwa na ushahidi hakikika ?

Mnyika yuko sahihi

Chadema wamtimue uanachama Lisu kwa utovu wa nidhamu

Yeye sio mkubwa kuliko chama

Chama ni taasisi aende zake huko
 
Back
Top Bottom