John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

Amekiri Jana kuwa hakumkubali Lowassa kuja ndani ya cdm, Bali ilikuwa mambo ya wengi wape. Au unadhani Kila aliyeko cdm alikubaliana na uhuni ule? Wakati mwingine unaweza kuvumilia kwa hali ya taasisi hata kama hukubaliani na baadhi ya mambo. Kwakuwa huko ccm mnakubaliana na Kila uchafu wa mwenyekiti, basi unadhini ni Kila mtu?
Ahahahahaha! Kwahiyo kuwavumilia hata wachafu kupo sio? Ahahahahaha!!!
 
Kuna uzi ushawahi kuwekwa humu kuhusu elimu ya Mnyika,... Huyu bwana shuleni alikua ni mashine hatari.
 
Ni kweli JJ tulikuwa naye kwenye kundi la wakataaji mpaka dakika ya mwisho. John ni miongoni mwa walioamua kuunga mkono juhudi za mbowe, sisi wengine tukagoma kugeuka mawe, tukajiondoa! Hata lisu alikuwa kundi letu mpaka alipokatiwa cha juu ndo akaamua kutusaliti. Mungu anamuona.
Acha shobo mtoto wa kiume utapakatwa uanzekulia
 
Baada ya kusema hayo alipaswa aulizwe kuwa kughushi ni kosa la jinai, baada ya yeye kugundua hao wabunge 19 wameingia Bungeni kwa barua ya kughushi alipaswa afanye nini?. Ofisi yoyote haipaswi kuonyesha nyaraka yoyote ya kiofisi kwa yeyote, hao NEC wamuonyeshe Mnyika barua ya kutoka Chadema kama nani?.

Chadema na Mnyika walichopaswa kufanya baada ya kugundua kuna forgery
1. Kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike.
2. Uchaguzi ungethibitisha jinai ya forgery
3. Baada ya jinai ya forgery kuthitishwa, NEC wange withdrawal zile barua za uteuzi
4. Bunge lingewafuta ubunge
5. Nafasi 19 za viti maalum Chadema zingetangazwa kuwa wazi.
6. Chadema waligoma kupeleka majina ya wabunge wake wa viti maalum kwa hoja ya hawayatambui matokeo ya uchaguzi, hawamtambui mshindi na hawalitambui Bunge!.
7. Baada ya maridhiano, walikubaliana kugawana kitu kinachoitwa nusu mkate, hivyo sasa wanayatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020, wanamtambua rais wa JMT na wanalitambua Bunge na wanapokea ruzuku yao toka ofisi ya Msajili wa vyama.

The Best Way Forward
Kutoendelea na kesi, kuwasamehe hao 19, kujipanga kwa uchaguzi wa 2025 kama walivyo shauriwa hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

P
Utaendelea kuwalamba matako ccm ila uteuzi hupati. MsuKUMA mshamba sana wewe
 
Baada ya kusema hayo alipaswa aulizwe kuwa kughushi ni kosa la jinai, baada ya yeye kugundua hao wabunge 19 wameingia Bungeni kwa barua ya kughushi alipaswa afanye nini?. Ofisi yoyote haipaswi kuonyesha nyaraka yoyote ya kiofisi kwa yeyote, hao NEC wamuonyeshe Mnyika barua ya kutoka Chadema kama nani?.

Chadema na Mnyika walichopaswa kufanya baada ya kugundua kuna forgery
1. Kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike.
2. Uchaguzi ungethibitisha jinai ya forgery
3. Baada ya jinai ya forgery kuthitishwa, NEC wange withdrawal zile barua za uteuzi
4. Bunge lingewafuta ubunge
5. Nafasi 19 za viti maalum Chadema zingetangazwa kuwa wazi.
6. Chadema waligoma kupeleka majina ya wabunge wake wa viti maalum kwa hoja ya hawayatambui matokeo ya uchaguzi, hawamtambui mshindi na hawalitambui Bunge!.
7. Baada ya maridhiano, walikubaliana kugawana kitu kinachoitwa nusu mkate, hivyo sasa wanayatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020, wanamtambua rais wa JMT na wanalitambua Bunge na wanapokea ruzuku yao toka ofisi ya Msajili wa vyama.

The Best Way Forward
Kutoendelea na kesi, kuwasamehe hao 19, kujipanga kwa uchaguzi wa 2025 kama walivyo shauriwa hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

P
Jitu lina roho mbaya sana hili lilimchomesha Kabendera. Ulipewa shs ngapi?
 
Unavyoijua ccm ilivyo na roho mbaya na kuitafutia chadema anguko kwa namna yoyote je wasingeitumia hiyo kama silaha? Ndio yaleyale ya kusema mbowe alimuua chacha wangwe na mbowe alimpiga lissu risasi.....!!!!! Mkiambiwa mlete ushahidi ushahidi na kwakuwa dola ipo chini yenu mkawashtaki hamtaki.
Ni wasssssssssenge sana hawa chawa wa ccm
 
Baada ya kusema hayo alipaswa aulizwe kuwa kughushi ni kosa la jinai, baada ya yeye kugundua hao wabunge 19 wameingia Bungeni kwa barua ya kughushi alipaswa afanye nini?. Ofisi yoyote haipaswi kuonyesha nyaraka yoyote ya kiofisi kwa yeyote, hao NEC wamuonyeshe Mnyika barua ya kutoka Chadema kama nani?.

Chadema na Mnyika walichopaswa kufanya baada ya kugundua kuna forgery
1. Kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike.
2. Uchaguzi ungethibitisha jinai ya forgery
3. Baada ya jinai ya forgery kuthitishwa, NEC wange withdrawal zile barua za uteuzi
4. Bunge lingewafuta ubunge
5. Nafasi 19 za viti maalum Chadema zingetangazwa kuwa wazi.
6. Chadema waligoma kupeleka majina ya wabunge wake wa viti maalum kwa hoja ya hawayatambui matokeo ya uchaguzi, hawamtambui mshindi na hawalitambui Bunge!.
7. Baada ya maridhiano, walikubaliana kugawana kitu kinachoitwa nusu mkate, hivyo sasa wanayatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020, wanamtambua rais wa JMT na wanalitambua Bunge na wanapokea ruzuku yao toka ofisi ya Msajili wa vyama.

The Best Way Forward
Kutoendelea na kesi, kuwasamehe hao 19, kujipanga kwa uchaguzi wa 2025 kama walivyo shauriwa hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

P
Jinai inashugulikiwa na sirikali kk, chadema walishatoa malalamiko yao kuhusu hilo ilibaki kazi ya sirikali kuchukua hatua chadema unawaonea tu p.
 
Jinai inashugulikiwa na sirikali kk, chadema walishatoa malalamiko yao kuhusu hilo ilibaki kazi ya sirikali kuchukua hatua chadema unawaonea tu p.
Ndugu yangu othuman dan fodio , una uhakika Chadema walitoa taarifa ya jinai?, walilalamikia wapi?, jinai inaripotiwa wapi?.
Naomba nikuhakikishie Chadema hawakutoa taarifa yoyote kuhusu jinai hii popote!. Na hii sio mara ya kwanza kwa Chadema, hata hapa niliuliza Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

Taarifa zozote za jinai zinaripotiwa polisi!.
P
 
Katika interview ambazo zilikuwa na maswali marahisi kwa mtu neutral lakini maswali magumu kwa mwanasiasa ni interview ya juzi Clouds kati ya Mnyika na wanahabari wa chombo hiki.

Lakini kati ya story zote zilizojitokeza unamwona Mnyika akichambua na kujibu maswali na hoja zote kiuhalisia bila kuzua mjadala kuhusu uhalali wa majibu yako. Hakuna majibu yakupika

Lakini eneo la pili anaonekana wazi siyo mwanasiasa bali ni binadamu mwenye uwezo na ufahamu sahihi kuhusu mahitaji ya Dunia kabla,sasa na baadaye. Anatambua wazi kwamba CHADEMA siyo nchi bali ni chama cha siasa kilichoundwa kukidhi matakwa ya mfumo wa kisiasa na kwamba kupitia taasisi hii upo uwezekano mkubwa wa binadamu waliopo ndani kupishana kimtazamo.

Mfano mzuri ni pale alipokiri kwamba yeye binafsi alikataa kumpokea Lowasa, lakini mwisho akaona kiu ya kisiasa ya kuiondoa CCM madarakani iliyokuwa ndani ya watu walio wengi na hapo ndipo alikubali kuendelea kutokukubaliana na msimamo wa chama kuhusu aina ya mgombea wao lakini akaamua kuunga mkono maono ya wananchi ya kuiondoa CCM madarakani.

Tafsiri kubwa hapa anatuambia si chadema wala CCM wanaoweza kuitoa nchi hapa ilipokwama isipokuwa watanzania kuamua kuunda mfumo wa kikatiba unaotoa haki na unaosimamia nidhamu ya kisiasa na serikali. Incase tukipata mfumo sahihi wa kikatiba may be tunaweza kufuata mfumo wa Kenya ambapo ikifika uchaguzi zinaundwa pande mbili let say UPANDE YANGA NA UPANDE WA SIMBA AU NG'OMBE NA MBUZI AU KUSHOTO NA KULIA THEN MNAUZA SERA WANANCHI WANACHAGUA.

Maono ya Mnyika yanatufumbua macho kwamba tuache imani kwa chama tubaki na imani ya nchi. Kenya wanapiga hatua kwa sababu hakuna akili zinazosubiri kuwa chawa zipewe nafasi....kila nafasi inamgumo wa ushindani.

Lakini jambo la mwisho kuhusu John Mnyika ni uwezo wake wakusimama kama Katibu mkuu na chama kubaki imara kipindi cha JPM. Kusimama imara kutetea chama dhidi ya waovu wa tume ya uchaguzi ambao walifikia hatua yakughushi nyaraka na kuzipeleka Bungeni.......Mnyika amesema wazi kwamba Tume ya Uchaguzi haijawahi kuonyesha popote barua yakuwapitsha akina Mdee iliyodaiwa kutolewa na Chadema. Maana yake anakiri kwamba pamoja na mawimbi mazito alisimama kama katibu mkuu na itoshe kusema kwamba huyu ndiye katibu mkuu bora kuwahi kutokea baada ya Mzee Kinana na Dr. Slaa. Katika mazingira ya kawaida, Mbowe alifahamu msimamo wa Mnyika dhidi ya Lowasa lakini alidiriki kumpendekeza kuwa katibu mkuu jambo ambalo siyo dogo. Uvumilivu wake ungekuwa mdogo angeungana na Slaa na matokeo yake angekuwa ameshapoteza dira kisiasa au ni DC kama walivyo akina Nassary, Mashinji nk

Natamani atunukiwe nishani ya utumishi uliotukuka
Mnyika ana 'background' nzuri ya elimu ya sekondari. Amesoma shule ambayo imetoa watu bora huko walipo whether serikalini au kwenye sekta binafsi. Na shule hii siyo nyingine ni MAUA SEMINARI (Moshi). Iko chini ya shirika la kimisionari. Mwanzoni ilikuwa chini ya wamisionari 'wazungu' (waanzilishi), lakini kwa vile kuna Watanzania wengi ambao wamajiunga, sasa hivi iko chini ya wazawa. Ukienda pale, mazingira tu ya shule yatakuonyesha ni aina gani ya elimu wanafunzi wanapata na elimu hiyo wanaendelea kuitumia popote walipo na watakapokuwa. Na kwa vile Mnyika naye ni member wa group la wanamaua, huko anasoma michango ya members mbalimbali na pengine inamsaidia kujifunza kubaki kama alivyo. Kwenye maisha usipoyumbishwa, ukibaki na msimamo the likelihood ni kuwa mtu wa mafanikio hata kama ni madogo kwa wakati huo ulipo.
 
Ndugu yangu othuman dan fodio , una uhakika Chadema walitoa taarifa ya jinai?, walilalamikia wapi?, jinai inaripotiwa wapi?.
Naomba nikuhakikishie Chadema hawakutoa taarifa yoyote kuhusu jinai hii popote!. Na hii sio mara ya kwanza kwa Chadema, hata hapa niliuliza Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

Taarifa zozote za jinai zinaripotiwa polisi!.
P
Paskali ccm mambo vp

Mwaka ndiyo tunaumaliza

Ova
 
Mimi nalia na watu wenye akili kubwa sana (Mnyika,Lissu) kutotumika kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi.

Hivi Mh. Rais akiamua kumuita Mnyika na wakawa na mazungumzo ya ana kwa ana kwa kirefu juu ya mustakabali wa Tanzania njema, atapungukiwa na nini zaidi ya kupata namna ya kuipigisha hatua mbele nchi yetu pendwa!!??

Mimi naamini katika kumpa mtu nafasi ya kumsikiliza kisha mimi kwa kuwa ndiye mwenye uamuzi wa mwisho,nitaamua kuchukua na kufanyia kazi maneno yake ama laa,maana silazimishwi kufuata ushauri wa yeyote yule.

Kuna faida kubwa katika kusikiliza mitazamo ya watu tofauti hata wale wasio upande wetu.

Ni dhambi kutotumia "fully" vipawa, akili, werevu, busara na uwezo wa wananchi wetu, lakini ni ni dhambi kubwa na laana kubwa sana kutowapa hata nafasi ya kuwasikiliza hoja zao.
 
Back
Top Bottom