#COVID19 John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

#COVID19 John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama chake huko Kinondoni Nje ya Jiji la Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliyozungumza , suala la Ugonjwa wa Corona lilikuwa na sehemu yake .

Binafsi naunga mkono hoja ya Mnyika kwa vile ndege iliyotumika kwenda kuchukua dawa hiyo ya uongo na uzushi ya corona ilikuwa ndege ya umma , hivyo ni lazima kile kilichoenda kuchukuliwa kifahamike kama kilikuwa dawa kweli ama kilikuwa togwa tu kama hizi togwa zetu za kawaida , na ikibainika kama kilichobebwa hakikuwa dawa ya corona basi wahusika wote wawajibike kwa kuliletea Taifa Hasara na ikibidi washitakiwe kwa uhujumu uchumi .

View attachment 1718042

View attachment 1718044
Kumbe kelele zote ilikuwa kuja kuzungumza huu utopolo!
 
Halafu watanzania tungekuwa tunajielewa hili swala halikutakiwa kuisha kimyakimya kama hivi. Haiwezekani hela zetu zinatumiwa kibwege halafu tupo kimya tu. Yaani nchi ina wasomi lukuki halafu tunakubali ndege iliyonunuliwa kwa kodi ya umma inachoma mafuta kufuata dawa ya kienyeji ambayo haijathibitishwa na taasisi yoyote ya kitabibu.

Hii kitu haikutakiwa kuisha kimya kimya. Ilitakiwa watu wawajibishwe. Unachezeaje hela ya umma kijinga hivi halafu unaachwa tu. Hili swala halikubaliki hata kidogo.
 
Wewe unajua chupi tu unazovua hapo Ufipa!
Wewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
 
Wewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
😆😆😆
 
Wewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
Hahahaaaa...... hiyo uliyotaja ni sawa na posho ya miezi mitatu tu ya mbunge wa Chadema Halima James Mdee!
 
Back
Top Bottom