#COVID19 John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

#COVID19 John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

This is the most corrupt government ever in the history of this country and when people will realize this, it will already be too late.

One person has turned the country into a private plantation where he can dismiss all the employees and declare it bankrupt.
Inasikitisha sana !
 
Mimi nadhani ni vyema zaidi kudai uchunguzi wa dawa hizi ndio uwekwe hadharani: COVIDOL, BINGWA, NIMRCAF, PLANET++, COVOTANZA na BUPIJI

Hizo dawa ndio Serikali inazipigia chapuo kwa nguvu sana wakati hatujui kama kuna potential negative health effects huko mbele ya safari kwa watumiaji maana dosi yake hata haipo clear (unywe mpaka vichupa vingapi viishe kwa interval ipi mpaka lini)

Hiyo ya Madagascar imeshajifia automatically..
 
Watu wameokotwa kuzimu unategemea kuwe na tija, wa kuhojiwa ndye anaeongoza hilo genge la vichaa
Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama chake huko Kinondoni Nje ya Jiji la Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliyozungumza , suala la Ugonjwa wa Corona lilikuwa na sehemu yake .

Binafsi naunga mkono hoja ya Mnyika kwa vile ndege iliyotumika kwenda kuchukua dawa hiyo ya uongo na uzushi ya corona ilikuwa ndege ya umma , hivyo ni lazima kile kilichoenda kuchukuliwa kifahamike kama kilikuwa dawa kweli ama kilikuwa togwa tu kama hizi togwa zetu za kawaida , na ikibainika kama kilichobebwa hakikuwa dawa ya corona basi wahusika wote wawajibike kwa kuliletea Taifa Hasara na ikibidi washitakiwe kwa uhujumu uchumi .

View attachment 1718042

View attachment 1718044
 
Kabudi ana siri nyingi sana ! akikamatwa wiki hii KAMA TUNAVYOTARAJIA tunaamini kuna mengi yatafumuka
 
Back
Top Bottom