Watch your tongue kid, sio kila aandikae hapa ni mtoto na mjinga mjinga kama wewe. Rejea kusoma niliyoandika. Sio kila unalosoma lazima utoe maoni, sometimes you have to just read and go on.mkome kuchagua wapuuzi, naona akili zimewakaa sawa
chagua kiswali au kiingereza sio kukorogaWatch your tongue kid, sio kila aandikae hapa ni mtoto na mjinga mjinga kama wewe. Rejea kusoma niliyoandika. Sio kila unalosoma lazima utoe maoni, sometimes you have to just read and go on.
Lazima ni wewechagua kiswali au kiingereza sio kukoroga
Naona kuna haja ya JF kuandaa kampeni ya kuzunguka nchi nzima kutoa elimu ya Uraia. Kujenga madaraja sio kazi ya mbunge, Mnyika hakusanyi kodi.Lakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!
Kwa hakika huwa sielewi hawa watu, najaribu sana lakini nashindwa. Huwezi kukaa ati unapinga sijui serikali iliyoko madarakani imefanya nini na nini ilhali watu waliokuamini wanateseka na walikutegemea sana. HAWANA HURUMA HATA!!
😆😆😆😆 pole mkuuKwahiyo ndo ulitumwa kuja kupima upepo humu jukwaani. Haya sasa chizi fresh ameshateuliwa msubiri wakati akiwa anakunywa dawa zake aje awavuruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
ameisimamia imetoa shs ngapi? hivi mbona mna mawazo ya kijinga hivi?Naona kuna haja ya JF kuandaa kampeni ya kuzunguka nchi nzima kutoa elimu ya Uraia. Kujenga madaraja sio kazi ya mbunge, Mnyika hakusanyi kodi.
Mnyika kazi yake ni kuisimamia serikali itoe hela za hyo miradi kwenye maeneo yake.... Mfano hapa anawapigania ndio mumjudge kwa hili sio kwa failure ya serikali kutimiza ahadi
Wee mburula mbunge hawezi kuleta maji, barabara, wala zahanati kwa sababu hana fedha! Fedha ziko serikalini na ndiyo yenye jukumu la kujenga miundombinu na huduma mbalimbali.Lakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!
Kwa hakika huwa sielewi hawa watu, najaribu sana lakini nashindwa. Huwezi kukaa ati unapinga sijui serikali iliyoko madarakani imefanya nini na nini ilhali watu waliokuamini wanateseka na walikutegemea sana. HAWANA HURUMA HATA!!
Pascal Mayalla ana tatizo moja kubwa sana , nadhani hata watoto wake wanamvumilia tu , anadhani anafahamu mambo kuliko yoyote mwingine , kwa mujibu wa madaktari jambo kama hilo ni ugonjwa wa akili .
Wewe unajua mabere marando alipo?nimeshangaa sana prof Baregu prof Safari mabare marando mzee masinde hawako kamati kuu,
Nyie bado wachanga mlitakiwa kuendelea kuyaficha haya,sisi kwetu shega tu miaka kumi tunahamishia upande mwingineKama ilivyosasa Tanzania kuwa USUKUMANI. Mara nyingi wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE
Hii ndio kazi ya mbunge sasa kusimamia mpka kieleweke..... Kama hapo kwa video so inatakiwa afuatilie mpaka ipatikane.ameisimamia imetoa shs ngapi? hivi mbona mna mawazo ya kijinga hivi?
Mbinu inayotumiwa na serikali hii ya Magufuli ni kutopeleka fedha za kutosha katika majimbo ya upinzani. Jambo hili linafanywa makusudi ili kuua upinzani lakini haitafanikiwa.ameisimamia imetoa shs ngapi? hivi mbona mna mawazo ya kijinga hivi?
Utapata taabu sana. Kunywa maji utulieNyalandu na Mashinji Wamehujumiwa na DJ wao.. Chadema Ni chama Cha hovyo Sana kuwahi kutokea.
How comes unasusa uchaguzi na kuwanyima wananchi haki ya kumpata kiongozi wao wanae mpenda kwa kigezo Cha demokrasia mbovu harafu Wewe kwenye uchaguzi wa chama unakuja kutumia demokrasia mbovu zaidi kupata viongozi wa chama.
Lissu kapita kuwa Makamu mwenyekiti bila hata kunadi sera zake.
Mtu anashindana na kivuli chake angali Chama kina wanachama thousands plus.
Mtu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 15 Sasa harafu huyohuyo anasema hataki watu wakae madarakan kwa miaka mingi.
Mtu anasema chama na wanachama wake Ni matajiri angali Chama hakina hata ofisi zake Wala hakina ofisi zinazoeleweka nchini kote zaidi ya mapango ya nyumba tu.
Mtu anasema Taifa halihitaji ndege harafu yeye na kundi lake wanakodi ndege kwenda kuomba maridhiano na jiwe mwanza.
Watu walioipiga Vijembe serikali ya awamu ya nne chini ya jk kuwa inatumia pesa za serikali hovyo kwa kufanyia Mikutano kwenye Kumbi za kukodi.. Leo hii ndo wamegeuka kuwa wateja wazuri kwenye hizo Kumbi.
Kwakweli kwa uhuni huu Na Unafiki huu CCM itaendelea kubaki madarakani kwa Muda mrefu Sana.
Nilikuwa namuona kijana wangu zitto Kama mtu smart anaeweza Leta revolutions katika upinzani naye siku hizi dishi limeyumba Amekuwa mbwambwajaji na Mnafiki. Mara aite wenzake Washamba Mara Awapongeze Yani hata yeye haelewi msimamo wake Ni upi.
Upinzani wa Tanzania safari bado tunayo Sana tunahitaji maamuzi magumu kufanya mabadiliko siyo huu upuuzi wa kuendelea kumtukuza mtu mmoja kwamba ndo anauwezo wa kuongoza Chama kuliko maelfu ya wanachama waliobaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
na fedha za jimbo zimefanya kazi gani? makusanyo ya ndani ya halmashauri yameenda wapi?Mbinu inayotumiwa na serikali hii ya Magufuli ni kutopeleka fedha za kutosha katika majimbo ya upinzani. Jambo hili linafanywa makusudi ili kuua upinzani lakini haitafanikiwa.
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, take it from me, Chadema will be no more!.
P
Msamehe tu mkuu maana nahisi ndo walewaleWewe ndiye unagawa ubunge ama ni wananchi?
Acha kuonyesha ujinga wako hadharani! Fedha ya jimbo ni kiasi gani au unaropoka kwa sababu una mdomo?na fedha za jimbo zimefanya kazi gani? makusanyo ya ndani ya halmashauri yameenda wapi?