John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Nikiri ukweli kwamba sioni mabadiliko ambayo Mnyika atayaleta zaidi ya aliyekuwa katibu mkuu wake Mashinji, utofauti wao ni mdogo sana. Chadema ilihitaji jembe ambalo likisema kesho tunaenda vitani unalikuta kabla ya muda lipo mstari wa mbele, kwa nini sasa mwenyekiti katoa mtu soft kaingiza soft zaidi, au aliona akimpa Heche hiki cheo angeweza KUIMARIKA zaidi na hatimaye itakuwa hatari kwa utawala wake na Lissu? Kariba ya mtu kama Heche naifananisha na Dr. Slaa wa enzi zile siyo wa sasa, na hili lingekisaidia sana chama kupambana na ccm, na kuweka misimamo ya kuitetemesha serikali, ukumbuke utawala wa Mashinji umeisha hata ile mtu kurusha jiwe hakuna,ila swali langu;- Ni kipi Mbowe amekiona kwa Mnyika ambacho Heche hana? au ndo kubadili gia angani na kuachana na siasa za akina Slaa za misimamo mikali au ndo kuweka mtu ambaye atakuwa anafanya yote ambayo anaamua yeye tu?au ndo ameamua chadema kiwe na siasa za upole?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnachojidsnganya nacho ni kujificha kwenye keyboards na kujifsnya kushutumu.Nina uhakika mtu kama wewe kwenye operesheni Ukuta ulijificha mvunguni
 
Mkuu Pter, kwanza thanks kwa hii innocent reminder, inawezekana ni kweli nilikuwa na heshima kubwa humu jf, jee hiyo heshima kubwa jf imenisaidia nini?.

Inawezekana kabisa sasa hiyo heshima inashuka hivyo vile vitu ilivyokuwa inanifaidia, heshima ikishuka nitavikosa.

Pia inawezekana kwa kadri ninavyokuwa na heshima kubwa jf, ndivyo ninavyopitia mateso na persecutions, mambo yangu yakitiwa vibano na maisha kuwa magumu, hivyo kwa kadri heshima inavyoshuka, ndivyo vile vibano vinavyoachia

Hivyo kushuka kwa heshima yangu jf, it's a blessing in disguise, soon na mimi nitajiunga na Chama na kuunga mkono juhudi vibano viishe kabisa.

Kama heshima kubwa ya jf hainisaidii lolote kuleta mkate mezani, heshima ya jf ikishuka ndipo mkate unakuja, I choose kitakacho leta mkate.
P

This is an honest confession, hongera sana kwa hili kaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom