- Thread starter
- #161
Jino kwa Jino mkuu..Ha Haa HaaaYaani inakera sana kila kukicha TBC imeng`ang`ana na CCM tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jino kwa Jino mkuu..Ha Haa HaaaYaani inakera sana kila kukicha TBC imeng`ang`ana na CCM tu!
Una ubaridi wew!Inaudhi sana kila siku habari za Chadema
HAFAI! Kwa ujinga huu unaondelea nw anafaa HECHE.. Mwaga mboga mwagaugali!
HAFAI! Kwa ujinga huu unaondelea nw anafaa HECHE.. Mwaga mboga mwagaugali!
Mtu ukiwa msomi sana bas kila kitu unakipeleka kisomi somi hesabu kwa sana!chadeka hatutak watu wa aina hyo aisee!..mfano mm ningekuwa huko juu top..siku ningemvizia Pole pole unalirukisha kichura chura na Musiba wao!unahakiksha hakuna ushahidi!gonga sana ngoko za magoti...!week zima ofisi za ccm anazingalizia wasap[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Huyo Silinde hata Magufuli mwenyewe anamhitaji kwenye serikali yake ijayo...Kuna changamoto naiona CHADEMA hasa wabunge kuwa na overlapping roles sio nzuri kwa kukuza chama. Natamani mtu akiwa mbunge aachie nafasi zingine zote ili kutoa fursa kwa vijana chipukizi kutoa mchango wao kwenye kujenga chama.
Nakumbuka Mnyika alipokuwa NKM alipotea kabisa jimboni akawa anakesha mikoani kujenga chama ikawa changamoto mno kujigawa majukumu na hta kukosa vikao vya bunge.
Ningependekeza apatikane katibu mkuu ambaye atakuwa yupo ofisini full time iwe Mwalimu/Nyalandu au Dr Marcus n.k ili ajikite kujenga chama sio kuwaza atateteaje jimbo mwakani.
NB: David Silinde ni mmoja kati ya viongozi naowakubali sana CHADEMA ila sielewi kwanini hamumuweki front page. Ana siasa za ki-maturity sana kama sio ubunge angefaa NKM bara.
Habari za Chadema zinachosha sisi tunajiandaa na majilio
We utakuwa Wassira... Kwa sababu anamwelewa sana EstherEaster Bulaya.........anatosha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sana, hivi kwanini msiba anaogopwa?
Huyo ningomchoma msumari makalio
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa wanaliogopa!u akamata koo lile na kuchq ndefu uwiii
Kuna aliyekulazimisha kufuatilia?Habari za Chadema zinachosha sisi tunajiandaa na majilio
Asante kwa wazoAtampa mashinji, lakini yule Wa Moro alifaa sana aitwaye albanie
Atampa mashinji, lakini yule Wa Moro alifaa sana aitwaye albanie
Kigaila mi namfahamu sana tangu mwaka alowatesa ccm Dodoma ni jembe sana. Nafasi kama ya ukatibu mkuu inahotaji mtu alive na mapenzi mema na CHADEMA full stop masuala ni professor, sijui ni Dr. Na blaa blaa nyingi hazina maana. Ukitaka kuamin hili kuna lichama linaongozwa na madokta lakini wanayoyafanya ni aibu hadi nataman kuhama hii nchi au duniaisimame mi nishuke kabisa. Kwelini aibu sana kukosa hoja hadi unagombana na vitambaa vinavyopepea? Aibu.Huyu Kigaila huyu!! katoka mbali sana na chama na anaonekana ni CHADEMA damu inatakiwa wamfikirie kwenye hizo nafasi za juu awamu hii.
Mpaka unachekesha