Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hamna huo ubavu na hamuwezi kufanya chochote kile. CCM Ndio mungoza njia .hutaki utakwenda tu hata kwa mijeredi labda uhame nchi. Hatuwezi kulea ujingaujinga na kuwabembeleza. Hata kama hamtaki kushiriki uchaguzi basi nyie kaeni pembeni muone kama uchaguzi hautafanyika na mambo kwenda kama kawaida. Maana hata hivyo mshiriki uchaguzi au msishiriki uchaguzi bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kwa kuzoa kula zote za ndio.Safari hii tutawabana kisawasawa , nakuhakikishia kwamba hawatopumua , Liwalo na Liwe !
Tatizo ni Chadema au ni wananchi kusapoti hoja zao? Jambo la msingi ni wewe utuambie umechukua hatua ganiViongozi wa Chadema mngeachia ngazi. Ni wazi CCM wanawadharau na hamna cha kuwafanya sababu hamna hata nguvu ya kuitisha maandamano . Hatuwezi kuwa na chama kikuu cha upinzani sifa yake kuu nikulalamika na kuonewa bila kurudisha mapigo kwa mtesi wake.
Tatizo ni Chadema. Inashangaza unaponiuliza mimi nimechukua hatua gani wakati siyo mwanasiasa. Hata hivyo ningekuwa Kiongozi Chadema ningeweka nguvu zangu kwa wanachama hai kuliko Watanzania wote. Ningejaribu kuelewa kwanini nina wanachama zaidi ya milioni lakini nikiitisha maandamano watu hata elfu kumi hawafiki. Ningejaribu kuwatumia wanachama wangu chini ya miaka 25 kushambulia na kuhujumu CCM hata kama ikibidi kuingiza mamluki ndani ya CCM na vyombo vya dola. Hivyo vitu vichache tu sababu wanaweza kujifunza mengi kupitia harakati za wapigania Uhuru wa nchi za SADC walivyokuwa wanapambana na wakoloni lakini nisingepoteza muda wangu kuendekeza victimhood mentality ndani ya ranks zangu bali ningeweka nguvu kupanda mbegu ya jeuri na imani ya kudai na kuchukua nchi kwa wanachama wangu. Ifike mahali mwananchi akimuona mwanachama wa Chadema bila kusita aamini anataka kuchukua madaraka ya Nchi na siyo tu kusindikiza CCM kwenye siasa. Imani mtakayojenga kwa wanachama wenu itahama kwa wananchi kama upepo.Tatizo ni Chadema au ni wananchi kusapoti hoja zao? Jambo la msingi ni wewe utuambie umechukua hatua gani
Mambo ya 4R ayo!🤣🤣🤣🤣..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Cleopa Msuya alishasema kuwa CHADEMA ni Wajenzi wazuri wa hoja kuliko CCM!..CCM ndio wamewashindwa Chadema.
..Hawana uwezo wa kushindana nao kwa hoja.
..siasa ni hoja vs hoja. Na CCM uwezo hawana.
Kwaiyo wewe unataka waitishe maandamano?Viongozi wa Chadema mngeachia ngazi. Ni wazi CCM wanawadharau na hamna cha kuwafanya sababu hamna hata nguvu ya kuitisha maandamano . Hatuwezi kuwa na chama kikuu cha upinzani sifa yake kuu nikulalamika na kuonewa bila kurudisha mapigo kwa mtesi wake.
..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
Unashindwa nini kuwa mwanasiasa? Umeona wenzio wameshindwa chukua hatua, uache kucheua hapa.Tatizo ni Chadema. Inashangaza unaponiuliza mimi nimechukua hatua gani wakati siyo mwanasiasa. Hata hivyo ningekuwa Kiongozi Chadema ningeweka nguvu zangu kwa wanachama hai kuliko Watanzania wote. Ningejaribu kuelewa kwanini nina wanachama zaidi ya milioni lakini nikiitisha maandamano watu hata elfu kumi hawafiki. Ningejaribu kuwatumia wanachama wangu chini ya miaka 25 kushambulia na kuhujumu CCM hata kama ikibidi kuingiza mamluki ndani ya CCM na vyombo vya dola. Hivyo vitu vichache tu sababu wanaweza kujifunza mengi kupitia harakati za wapigania Uhuru wa nchi za SADC walivyokuwa wanapambana na wakoloni lakini nisingepoteza muda wangu kuendekeza victimhood mentality ndani ya ranks zangu bali ningeweka nguvu kupanda mbegu ya jeuri na imani ya kudai na kuchukua nchi kwa wanachama wangu. Ifike mahali mwananchi akimuona mwanachama wa Chadema bila kusita aamini anataka kuchukua madaraka ya Nchi na siyo tu kusindikiza CCM kwenye siasa. Imani mtakayojenga kwa wanachama wenu itahama kwa wananchi kama upepo.
Nataka waitoe CCMKwaiyo wewe unataka waitishe maandamano?
Ccm inaweza toka bila maandamanoNataka waitoe CCM
Sawa. Ni haki yako kutoa maoni yako hata kama hayana tija.Unashindwa nini kuwa mwanasiasa? Umeona wenzio wameshindwa chukua hatua, uache kucheua hapa.
SawaCcm inaweza toka bila maandamano
Kikosi Kipana cha Chadema kilichotikisa Kamati ya Bunge na kumchanganya Bwana Joseph Mhangama kiasi cha kuwewesekana na kusababisha Polisi kuongezwa Dodoma leo kwa ajili ya Doria .10 January 2024
Dodoma, Tanzania
Dr. Joseph Kizito Mhagama -
Jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni
View: https://m.youtube.com/watch?v=jzaIBOli9P4
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mh. Dr. Joseph Mhagama (Mbunge CCM) amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni.
Pia, taasisi za kidini, mashirika manne, vyama vya siasa 18, taasisi na asasi za kiraia 31 zimeshiriki huku wachangiaji binafsi 68 wakitoa maoni yao.
Mh. Dr. Joseph Kizito Mhagama amesema hayo leo Jumatano, Januari 10, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akihitimisha utoaji wa maoni uliodumu kwa siku nne.
Baada ya hapo, kamati hiyo .....
Ipo stage mkuu hatujafika ila upewe uhai hata kuuana kitu kidogo.leo wanazikwa watoto wa chadema kwa sababu ya sheria mbovu za uchaguzi zinazopelekea chaguzi za fujo.iko siku watoto wa vion gozi wa ccm watazika pia watoto wao.tukimaliza kuzika wote.tutapoongelea uchaguzi huru watakuwa wanaelewa .Viongozi wa Chadema mngeachia ngazi. Ni wazi CCM wanawadharau na hamna cha kuwafanya sababu hamna hata nguvu ya kuitisha maandamano . Hatuwezi kuwa na chama kikuu cha upinzani sifa yake kuu nikulalamika na kuonewa bila kurudisha mapigo kwa mtesi wake.