10 January 2024
Dodoma, Tanzania
Dr. Joseph Kizito Mhagama -
Jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni
View: https://m.youtube.com/watch?v=jzaIBOli9P4
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mh. Dr. Joseph Mhagama (Mbunge CCM) amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni.
Pia, taasisi za kidini, mashirika manne, vyama vya siasa 18, taasisi na asasi za kiraia 31 zimeshiriki huku wachangiaji binafsi 68 wakitoa maoni yao.
Mh. Dr. Joseph Kizito Mhagama amesema hayo leo Jumatano, Januari 10, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akihitimisha utoaji wa maoni uliodumu kwa siku nne.
Baada ya hapo, kamati hiyo .....