Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ile ni kamati fakeSasa watu wa Serikali wanapata shida gani Kwa sababu Chadema wanaleta maoni ,Sasa maoni si unayaookea na kuyasikiliza harafu Uamzi unabakia ni WA kamati ku damp au kuchukua shida Iko wapi?
Kwa hiyo milenda.kufanya nini?Ile ni kamati fake
Swali moja wanachama hai wa Chadema walifanya nini Mwenyekiti wao alivyowekwa ndani? Tuweke pembene sisi Wananchi tusiokuwa na kadi ya Chama chochote.Bro mtu akikaa mbele yako kama kiongoz wako nguvu zake ni wewe so kabla hujamlaumu kwa lolote mtu wa kwanza wa kujilaumu ni wewe. Je umefanya mangap ili kufikia hicho unachotaka kifanyike. Wewe kiongoz wa upinzan mkuu anawekwa ndani miez 8 mmekaa kimya unategemea nini. Hili ni tatizo la wananchi sio upinzan. Hapo kenya watu wenyewe ndio wapinzan wa matendo kinzan ya serIkali. Akina raila wanaelekeza tu nini kifanyike watu wanafuata coz wanajua hawana mjomba wa kumlilia. Sasa wewe mwanaume mzima uko nyuma ya laptop unawalaumu watu kwa madhaifu yako shame.
Ni uendawazimu kuiona chadema inawasemea wanachama wake na sio wananchi. Na ni ujinga kuamin wanaoandamana Kenya raila anavyoitisha maandamano ni wanachama wa azimio na sio wananchi in general.Swali moja wanachama hai wa Chadema walifanya nini Mwenyekiti wao alivyowekwa ndani? Tuweke pembene sisi Wananchi tusiokuwa na kadi ya Chama chochote.
Swali jepesi unapata taabu kujibu.Ni uendawazimu kuiona chadema inawasemea wanachama wake na sio wananchi. Na ni ujinga kuamin wanaoandamana Kenya raila anavyoitisha maandamano ni wanachama wa azimio na sio wananchi in general.
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana. Hatima ya nchi unaipa chama. Hiv unavyomuona Hamas anapigana na Israel wale Palestine wa West Bank wamekaa kimya sio. Africa itaendelea cku ikiacha mtu wa kumlaumu juu ya ujinga wake mwenyewe. Kwenye chama kuna radical kuna normal na kuna watu wapo tu kwa ufuasi ila kwenye masuala ya nchi tunaenda front wote. Ukiona unajiondoa kwenye kuleta solutions ujue wewe ni sehem ya tatizo. Eti kwanini chadema wasifanye hiv Kwan we umefanya yapi au ndio kugeuka keyboard worrier's.Swali jepesi unapata taabu kujibu.
Wanachama hai elfu kumi tu wa chadema wakiingia barabarani watapata support ya wananchi. Unafikiri unatuma ujumbe gani kwa wananchi pale wanachama wako wenye ofisi hadi vijijini wanaposhindwa kuratibu maandamano pale Mwenyikiti unapotangaza yafanyike. ODM wanachama wao wanaingia barabarani muda wowote Raila akitangaza maandamano na wananchi wanapata nguvu kutoa support yao.
Basi utakuwa ulidumaa na utapiamloDogo, Mimi Mkubwa sana zaidi yako.
Hawawezi kurudisha mapigo kwasababu wameaminishwa na viongozi wao kuwa “” Watafika AHERA” bila kufa! Hiyo haiwezekani ; ni lazima ufe kwanza ndio ukafaidi matunda ya mbinguni!Viongozi wa Chadema mngeachia ngazi. Ni wazi CCM wanawadharau na hamna cha kuwafanya sababu hamna hata nguvu ya kuitisha maandamano . Hatuwezi kuwa na chama kikuu cha upinzani sifa yake kuu nikulalamika na kuonewa bila kurudisha mapigo kwa mtesi wake.
Unaongea maneno mengi lakini hutoe jibu kwa swali langu.Hii nchi ina vijana wa hovyo sana. Hatima ya nchi unaipa chama. Hiv unavyomuona Hamas anapigana na Israel wale Palestine wa West Bank wamekaa kimya sio. Africa itaendelea cku ikiacha mtu wa kumlaumu juu ya ujinga wake mwenyewe. Kwenye chama kuna radical kuna normal na kuna watu wapo tu kwa ufuasi ila kwenye masuala ya nchi tunaenda front wote. Ukiona unajiondoa kwenye kuleta solutions ujue wewe ni sehem ya tatizo. Eti kwanini chadema wasifanye hiv Kwan we umefanya yapi au ndio kugeuka keyboard worrier's.
Swadakta. Mbowe na siasa zake za maridhiano dhidi ya majambazi wa CCM.Hawawezi kurudisha mapigo kwasababu wameaminishwa na viongozi wao kuwa “” Watafika AHERA” bila kufa! Hiyo haiwezekani ; ni lazima ufe kwanza ndio ukafaidi matunda ya mbinguni!
Swali lako linaonyesha udogo wa akili yako. Nyie ndio wale mnaowalaumu wazazi kwa hali zenu za maisha. Nataka nikufungue Chief. Mtu yeyote anaongea kwa kulaumu jua kichwan hamna kitu. Muda hauko upande wetu leta hoja mbadalaUnaongea maneno mengi lakini hutoe jibu kwa swali langu.
Upo hapa unalaumu wananchi hawaingia barabarani wakati watu wanaojiita wanasiasa wa upinzani wanashindwa kuratibu wanachama wao hai waliowasajili kidijitali kuingia barabarani. Watu wasio smart na strategic kama nyie mnasubiri chuki za wananchi zifanye kazi zenu wanasiasa. Sikiliza, kwa hoja na mtazamo wako hata Samia anaweza kulalamikia vijana wa hovyo wa Nchi hii kwa kutoleta maendeleo. Si wapo Serikali kuu na kwenye halmashauri, si ni sehemu ya decision making ya Nchi kwanini wanashindwa kuleta maendeleo? Huwezi kutulalamikia sisi wananchi wakati mfumo uliopo kwasasa kazi ya kumuulika na kuwajibisha Chama tawala wamekabidhiwa vyama vya upinzani kama mnataka tufanye sisi wananchi basi tufute hivi vyama vya siasa.Swali lako linaonyesha udogo wa akili yako. Nyie ndio wale mnaowalaumu wazazi kwa hali zenu za maisha. Nataka nikufungue Chief. Mtu yeyote anaongea kwa kulaumu jua kichwan hamna kitu. Muda hauko upande wetu leta hoja mbadala
Bro mi sio mwanasiasa na cpend siasa kabisa. Ninachokiongelea hapa ni kule watu Kuamin mbowe au zitto ndio atatusemea. Kila mtu katika eneo lake anawajibu wa kufanya hicho unachotaman mzee. Huwez katikat ya vita ukaanza kaz ya kuwalaumu askari mlioko kwenye lengo. Nchi haijengwi na maneno Mzee. What if huo upinzan ni sehem ya CCM huoni utakuwa unajichosha kwa kuwalaumu watu walijipanga namna ya kutuibia.Upo hapa unalaumu wananchi hawaingia barabarani wakati watu wanaojiita wanasiasa wa upinzani wanashindwa kuratibu wanachama wao hai waliowasajili kidijitali kuingia barabarani. Watu wasio smart na strategic kama nyie mnasubiri chuki za wananchi zifanye kazi zenu wanasiasa. Sikiliza, kwa hoja na mtazamo wako hata Samia anaweza kulalamikia vijana wa hovyo wa Nchi hii kwa kutoleta maendeleo. Si wapo Serikali kuu na kwenye halmashauri, si ni sehemu ya decision making ya Nchi kwanini wanashindwa kuleta maendeleo? Huwezi kutulalamikia sisi wananchi wakati mfumo uliopo kwasasa kazi ya kumuulika na kuwajibisha Chama tawala wamekabidhiwa vyama vya upinzani kama mnataka tufanye sisi wananchi basi tufute hivi vyama vya siasa.
Bado wanaishi na falsafa za awamu ya 5.Sasa watu wa Serikali wanapata shida gani Kwa sababu Chadema wanaleta maoni ,Sasa maoni si unayaookea na kuyasikiliza harafu Uamzi unabakia ni WA kamati ku damp au kuchukua shida Iko wapi?
"What if huo upinzan ni sehem ya CCM ". ndio sababu nasema viongozi wa Chadema waachie ngazi.Bro mi sio mwanasiasa na cpend siasa kabisa. Ninachokiongelea hapa ni kule watu Kuamin mbowe au zitto ndio atatusemea. Kila mtu katika eneo lake anawajibu wa kufanya hicho unachotaman mzee. Huwez katikat ya vita ukaanza kaz ya kuwalaumu askari mlioko kwenye lengo. Nchi haijengwi na maneno Mzee. What if huo upinzan ni sehem ya CCM huoni utakuwa unajichosha kwa kuwalaumu watu walijipanga namna ya kutuibia.
Huwezi kusema "nyaraka hii" kama alivyosema huyo chizi janja, aidha nyaraka hizi au waraka huu...Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
CCM ni wajinga sana wanadhani watu hawana akili,wao wanataka watu waendelee kuwahi asubuhi kwenye vituo vya kupiga kura ilhali UCHAGUZI ulishaisha au kubakwa,Watanzania bado ni watulivu sana na wao wanasema watanzania wanaipenda CCM basi kama wanaamin hivyo HOFU kubwa kiasi hicho inatoka wapi,CCM ikumbuke kwamba siku watanzania wakichoka kuongea basi mbadala wake ni machafuko.Na ninaamin CCM wako tayari kwa hilo...Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
Huwezi kusema "nyaraka hii" kama alivyosema huyo chizi janja, aidha nyaraka hizi au waraka huu.
Awache porojo nyingi, hayo ni mapendekezo tu kama mapendekezo ya watu wengine.
Yanabaki kuwa ni maoni tu.
Chama cha majambazi bunge la mchongo..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
Chadema watateswa sana ktk siasa za Tanzania. Vidume ktk dunia ni Hamas. Anapigana na USA , NATO, ISREAL na bado ngoma ngumu..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake.
..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni.
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w