Wewe upo njiani! Mwana Mungu huadhibu kwa wakati wake! Mimi sishabikii watu kufariki ila napinga sana mjinga yeyote kushangilia kifo cha mwenzake! Unamwita Magufuli shetani wewe hapo ulipo ni msafi? Nakwambia tengeneza njia zako!
Huwezi kumfananisha shetani aliyepoteza watanzania wenzetu na huyu dada who we celebrates her life hapa duniani,she did not hurt even a fly,jiulize Ben Saanane yupo wapi?