Kwani huyo Dr. Slaa mwenye akili sasa hivi yuko wapi? Yaani mtu yuko CCM halafu unasema ana akili! Tangu lini mwanaCCM akawa na akili yake?Katibu mkuu pekee wa Chadema aliyekuwa anajua wajibu wake na utendaji no Dk Slaaa pekee wenginge wote hopeless akiwemo mashinji ,mnyika nk
Wacha mnyika awe tu mhudhuria mazishi hana kitu kichwani