Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
DuhSPIKA : Wabunge Mmeshiba?!
WABUNGE : Ndioooooooo!!!
SPIKA : Wabunge mna njaa?!
WABUNGE : Ndiooooooooo!!!
Malalamiko FCHawa watu ni vichaa, mwisho wa siku raia watawadharau na notitie yao ya bunduki.View attachment 1621896
Kwahiyo Dr.Slaa ni CHADEMAChadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote ikulu wasahau
SikushangaiChadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote ikulu wasahau
Rudia kuisoma tena hii hoja yako labda utaielewa.Nyie ndo vichaa kabisa, wamekosa ubunge kina mbowe, mdee, nk ndo mgomee wengine waliopata kuingia bungeni? Chadema ni wabinafsi sana, nimempenda yule mbunge wa nkasi hajakubaliana na unafiki wa hawa jobless kwa miaka mitano, goja waonje joto la jua, nabariki hata NEC ikighushi sahihi watakaoteuliwa nendeni msisikilize maneno ya kina Mnyika wao wanalipwa hela za ukatibu mkuu, wala kina lissu na mbowe na walijua wakapeana vyeo mapema kabsa.
Hasira za nini nenda weweNyie ndo vichaa kabisa, wamekosa ubunge kina mbowe, mdee, nk ndo mgomee wengine waliopata kuingia bungeni? Chadema ni wabinafsi sana, nimempenda yule mbunge wa nkasi hajakubaliana na unafiki wa hawa jobless kwa miaka mitano, goja waonje joto la jua, nabariki hata NEC ikighushi sahihi watakaoteuliwa nendeni msisikilize maneno ya kina Mnyika wao wanalipwa hela za ukatibu mkuu, wala kina lissu na mbowe na walijua wakapeana vyeo mapema kabsa.
Wabinafsi ni wale waliotumia dola kujitangazia ushindi na kupora haki za wengine kwa manufaa yao.Nyie ndo vichaa kabisa, wamekosa ubunge kina mbowe, mdee, nk ndo mgomee wengine waliopata kuingia bungeni? Chadema ni wabinafsi sana, nimempenda yule mbunge wa nkasi hajakubaliana na unafiki wa hawa jobless kwa miaka mitano, goja waonje joto la jua, nabariki hata NEC ikighushi sahihi watakaoteuliwa nendeni msisikilize maneno ya kina Mnyika wao wanalipwa hela za ukatibu mkuu, wala kina lissu na mbowe na walijua wakapeana vyeo mapema kabsa.
CDM ndio mnazidi kupotea hamtaki kuwapa haki wadada wa CDM kupata viti maalumu kisa Mbowe amekosa ubunge1. Kamati Kuu @ChademaTz haijafanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum mpaka sasa
2. Hivyo hakuna orodha iliyopelekwa na Katibu Mkuu kwa NEC.
3. Tumedokezwa wanataka kughushi saini na orodha @TumeUchaguziTZ ifanye uteuzi haramu na @bunge_tz likabariki.
By JJ MANYIKAView attachment 1621903
Kinacho wafanya mgushi sahihi za wana CHADEMA kwenda Bungeni ni nini wakati mkakati wa miaka mitano ulikua kuua upinzani.Kwani CHADEMA ndo kitu gani hapa nchini,kwani kabla ya mfumo wa vyama vingi bunge liliendeshwaje? Hawa CHADEMA hawafai siku zote watakuwa wanakula jeuri yao