Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Kwa mazingira yaliyopo CHADEMA haiwezi kupata viti maalum hata mmoja, kwasababu hawajakidhi viwango vinavyotakiwa, wana mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa jimboni, hii ni sawa na Zitto alivyokuwa anawakilisha chama chake bungeni, alikuwa peke yake, hakuwa na viti maalum hata mmoja wa chama chake.

Hivyo, kutokana na mazingira hayo, CHADEMA kupata viti maalum haiwezekani kisheria, na kama watapata basi lazima itakuwa na kwa makubaliano maalum na CCM, hao watakaoteuliwa kwenye hizo nafasi wajiandae kujibu maswali.
Hamna linalo shindikana hapa Tz Rais na chama tawala wakitaka katiba sio lolote katika utawaala wa JPM, hakujuwa madhara ya alichotenda, kwenye uchaguzi
 
Chadema imegeuka kutoka kuwa chama cha siasa kuwa kikundi cha wasanii, madalali na vibaraka

Ukiangalia sana walichokifanya kwenye uchaguzi huu utaona kabisa kwamba Walijua hawawezi kushinda uchaguzi ndio maana hawakutaka kutumia pesa nyingi kwenye kampeni wala kwa mawakala; ila walijipanga kuleta vurugu kwa kujitangazia ushindi kwa Ile utaratibu wao ambao nao ulishindikana... au kuingiza watu barabarani ili wapate msaada wa wale mabwana ambacho nacho kimeshindikana
Unapenda kuandika vitu vya ajabu!.

Walioleta vurugu ni wale walioingia vituoni na kura feki, na kufukuza mawakala kwa marungu, ama kweli ukipenda kipofu utaita chongo.
 
Hamna linalo shindikana hapa Tz Raisi na chama tawala wakitaka katiba sio lolote katika utawaala wa JPM, hakujuwa madhara ya alichotenda, kwenye uchaguzi
Ndio maana nikasema, hao wabunge watakaoitwa "viti maalum wa Chadema" kama watateuliwa, watakuwa na maswali ya kujibu.
 
,,hivi ww kama una ushahidi wa wizi huo kwann usiende mahakaman? Unapiga kelele huku jukwaani ?
Hilo la mahakamani nalo linaweza kuwa mojawapo ya ajenda za kikao cha kamati kuu kama watakutana.
 
Kosa la kugush saini ni kosa la jinai lisilo na dhamana na ni miongoni kwa makosa ya uhujumu uchumi

Huyo katibu wa NEC si hata matokeo aligushi?

Nipe orodha mnayodai imegushiwa

Halafu matokeo ya uchaguzi unayosema yalighushiwa kwanini hakuna wakala aliyepeleka nyaraka NEC kupinga matokeo ya udiwani na ubunge?

Kumbuka nilikushauri sana ukawe wakala ili kushuhudia chama chako kinavyoshindwa kihalali ukagoma😁😁😁
 
Tukiwarushiwa ndizi na wazungu ni halali yetu.

Walifanya maamuzi ya kijinga kupora uchaguzi sasa wanaanza kuteseka.

Wabaki wenyewe kwenye hilo Bunge lao la chama kimoja(Bunge la Ma-CCM) lifanye kazi ya kusifu,kutukuza na kupongeza.
Hakuna anaeteseka, huo ni utaratibu wa kisheria acheni kudanganya watu. Majina ya Viti Maalum yalishapelekwa toka mchakato wa uteuzi wa ndani ya vyama ulivyokamilika. Halikadhalika, kama Tume itateua bado mnaweza kutotoa ushirikiano kwa hao wabunge wenu kutokwenda kula kiapo cha kuwa wabunge. Sasa sijui hizi drama za mitandaoni ni za nini?

Ninachokiona hapa, Chadema wana hofu ya baadhi ya wanachama wao kuwasaliti hasa hao watakaoteuliwa kwa nafasi ya ubunge wa Viti Maalum. Na hii inatokana na ukweli kwamba siasa ni ajira, mtu hawezi kupata nafasi kama hiyo ya kuwa mbunge halafu akaichezea wakati anajua chama hakiwezi kumsaidia kwa lolote. Tunawashauri kama wanataka kugomea waongee na watu wao, badala ya kufanya maigizo kwenye mitandao
 
Ungeuliza kwanza na mbona hii kitu ipo wazi sana? Yes, huwezi kujua kila kitu, basi usilete ujuaji
Viti maalum ipo hivi
- sheria inasema angalau chama kiwe kimepata 5% ya kura zote zilizopigwa za ubunge. Mfano kura zilizopigwa za ubunge ni mil 10, kura za ubunge chadema zinatakiwa ziwe zimefika au kuzidi 5%.
Baada ya hapo ndipo itatafuta % katika hivyo vitu 150 vya ubunge nchi nzima.
Mfano tena : chadema imepata kura milioni 1 za kura zote za ubunge let say mil 10, hivyo chadema wanakuwa na 10% ya viti maalum. Hivyo katika viti 150 jumla kwa ajili ya ubunge chadema itapata viti 15.
Issu ya zitto na ACT kwa mwaka 2015, hii isingewezekana kumbuka kuwa mwaka 2015 ACT kilikuwa ni chama kichanga sana hivyo hawakusimamisha wagombea ubunge majimbo mengi sana na hivyo kura za ubunge za chama cha ACT zilikuwa hazifiki angalau 5% ya kura zote za ubunge.
Chadema mwaka huu 2020 waliamua

Ambapo hujaelewa uliza, lengo ni kueleweshana.
Kwa mazingira yaliyopo Chadema haiwezi kupata viti maalum hata mmoja, kwasababu hawajakidhi viwango vinavyotakiwa, wana mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa jimboni, hii ni sawa na Zitto alivyokuwa anawakilisha chama chake bungeni, alikuwa peke yake, hakuwa na viti maalum hata mmoja wa chama chake.

Hivyo, kutokana na mazingira hayo, Chadema kupata viti maalum haiwezekani kisheria, na kama watapata basi lazima itakuwa ni kwa makubaliano maalum na CCM, hao watakaoteuliwa kwenye hizo nafasi wajiandae kujibu maswali.

Idadi ya kura za urais ni kwaajili ya ruzuku pekee.
 
Aliyeharibu ladha ya siasa na kutufikisha hapa tulipo ni Mvurugaji Mmoja tu. Yeye ndiye anaewahangaisha watu. Na watu wenyewe wameshapoteza mwelekeo.
Halafu wanaona alichofanya ni sahihi hasemwi maana ni mungu-mtu
 
Sijui kama hamjui au mnafanya kusudi.
Viti maalum vinatokana na % ya kura zote za ubunge ambazo chama kimepata.
Mfano jumla ya kura za ubunge nchi nzima zilikuwa milioni 10, wataangalia chadema walipata kura ngapi katika hizo mil 10. Na hivyo itatafutwa % ya kura za chadema kama zimefika atleast 5%.
Hii inafanyika chaguzi zote, tuwe tunafatilia
Hamna linalo shindikana hapa Tz Raisi na chama tawala wakitaka katiba sio lolote katika utawaala wa JPM, hakujuwa madhara ya alichotenda, kwenye uchaguzi
 
Ungeuliza kwanza na mbona hii kitu ipo wazi sana? Yes, huwezi kujua kila kitu, basi usilete ujuaji
Viti maalum ipo hivi
- sheria inasema angalau chama kiwe kimepata 5% ya kura zote zilizopigwa za ubunge. Mfano kura zilizopigwa za ubunge ni mil 10, kura za ubunge chadema zinatakiwa ziwe zimefika au kuzidi 5%.
Baada ya hapo ndipo itatafuta % katika hivyo vitu 150 vya ubunge nchi nzima.
Mfano tena : chadema imepata kura milioni 1 za kura zote za ubunge let say mil 10, hivyo chadema wanakuwa na 10% ya viti maalum. Hivyo katika viti 150 jumla kwa ajili ya ubunge chadema itapata viti 15.
Issu ya zitto na ACT kwa mwaka 2015, hii isingewezekana kumbuka kuwa mwaka 2015 ACT kilikuwa ni chama kichanga sana hivyo hawakusimamisha wagombea ubunge majimbo mengi sana na hivyo kura za ubunge za chama cha ACT zilikuwa hazifiki angalau 5% ya kura zote za ubunge.
Chadema mwaka huu 2020 waliamua

Ambapo hujaelewa uliza, lengo ni kueleweshana.
Ok, nimekupata, kumbe ni kura za ubunge jumla kwa majimbo yote ya ubunge nchi nzima, nilidhani ni kwa lile jimbo waliloshinda pekee.
 
Chadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote ikulu wasahau
Hakuna chama kinachoweza kuitoa CCM madarakani kwa mfumo uliopo Sasa. Vinginevyo ni mpaka tuwe na tume huru ya uchaguzi.
 
Tukiwarushiwa ndizi na wazungu ni halali yetu.

Walifanya maamuzi ya kijinga kupora uchaguzi sasa wanaanza kuteseka.

Wabaki wenyewe kwenye hilo Bunge lao la chama kimoja(Bunge la Ma-CCM) lifanye kazi ya kusifu,kutukuza na kupongeza.
Kama yule mbunge wa chadema hajavuliwa uanachama basi chadema watakuwa wamekula matapishi yao

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Unapenda kuandika vitu vya ajabu!.

Walioleta vurugu ni wale walioingia vituoni na kura feki, na kufukuza mawakala kwa marungu, ama kweli ukipenda kipofu utaita chongo.

Waliowaharibia ni wale waliotengeneza hizo kura fake, wakazipeleka kituoni, halafu wakazikamata, kisha wakazichoma moto na kugoma kupeleka malalamiko yao NEC
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...

Kingine kufoji si ni haina tofauti na wale waliyokutwa na vyeti feki...



Cc: mahondaw
 
Ndio ipo hivyo. Sijajua idadi halisi ya kura za chadema walizopata kwenye ubunge ila nahisi wanavuka 10%, hivyo wanaweza kuwa na wabunge wasiopungua 15.
Shida ilipo ni, majina ya wagombea viti maalum yalishapelekwa hivyo kinachofanyika ni sasa hivi kamati kuu kuamua katika yale majina ni kina nani wapite. Sasa inavyoonekana ni kama kuna watu wanatakiwa kupitishwa ilihali hawakugombea viti maalum
Wa kwanza viti maalum ambaye amepita ni halima mdee, sababu ya nafasi yake ya mwenyekiti bawacha. Hii nafasi unapata viti maalum moja kwa moja
Ok, nimekupata, kumbe ni kura za ubunge jumla kwa majimbo yote ya ubunge nchi nzima, nilidhani ni kwa lile jimbo waliloshinda pekee.
 
Akili zako bado ni ndogo sana wewe.Inaonekana wewe ni mnufaika wa huu ujinga ndo maana unasema hivyo.ila kaa ukijua hii nchi itakuepo miaka mingi sana ijayo sasa angalia kizazi chako kisije kujuta kua na mzazi kilaza kama wewe.
Chadema imegeuka kutoka kuwa chama cha siasa kuwa kikundi cha wasanii, madalali na vibaraka

Ukiangalia sana walichokifanya kwenye uchaguzi huu utaona kabisa kwamba Walijua hawawezi kushinda uchaguzi ndio maana hawakutaka kutumia pesa nyingi kwenye kampeni wala kwa mawakala; ila walijipanga kuleta vurugu kwa kujitangazia ushindi kwa Ile utaratibu wao ambao nao ulishindikana... au kuingiza watu barabarani ili wapate msaada wa wale mabwana ambacho nacho kimeshindikana
 
Nyie ndo vichaa kabisa, wamekosa ubunge kina mbowe, mdee, nk ndo mgomee wengine waliopata kuingia bungeni? Chadema ni wabinafsi sana, nimempenda yule mbunge wa nkasi hajakubaliana na unafiki wa hawa jobless kwa miaka mitano, goja waonje joto la jua, nabariki hata NEC ikighushi sahihi watakaoteuliwa nendeni msisikilize maneno ya kina Mnyika wao wanalipwa hela za ukatibu mkuu, wala kina lissu na mbowe na walijua wakapeana vyeo mapema kabsa.
Mbona kelele km zote mkuu. Kwani tatizo ni nini hapo. Uchaguzi umeisha, washindi wametangazwa. NEC wamefanya kazi yao vizuri kabisa na kupongezwa. Bunge la kijani ndilo lilikuwa takwa la msingi na limetimia. Sasa NEC kutuhumiwa kughushi , tena kwa niaba ya waliokataliwa na wananchi inakuwaje hapo? Nashauri bunge liendelee tu , kusiwe na mpango wowote wa kuteua wakwamisha maendeleo wa nchi hii kuvuruga Bunge letu tukufu. Kijani 99.9% ipo sawa. Tuachane na ulaghai .
 
Ila kweli maafrika ni manyani,nimefuatilia uchaguzi wa us kuanzia kampeni hadi kutangazwa mshindi sjasikia kama kuna mtu kapigwa huko au kuuawa au figisu zozote kisa uchaguzi
aliyepata kushuhudia manyani yanavyoishi... atakuelewa... manyani ni mabinafsi, malafi na yanaweza anzisha ugomvi ambao hauna hata maana... yapoyapo tu... nyani anaweza angusha matunda ya mti mzima... ukiyaangalia ni yamefanya kuharibiwa na hayajaliwa... nyani hapendi kumuona mwenzake anapata mazuri...
 
Back
Top Bottom