Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

1. Katibu Mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya kupeleka majina ya wabunge viti maalum kwa tume ya uchaguzi hajawahi kupeleka majina hayo.

2. Wabunge walioelekea bungeni kuapishwa hawana baraka za chama...
Kama mnajua hawajafuata utaratibu futeni hao kesho uanachama, Lakini kuendelea na mambo ya sijui hata wakibaki ni uongo mtupu.
 
Wasipofukuzwa utakua ni usariti na dhambi wya hali ya juu Sana kuliko hata walioharibu uchaguzi
 
Wanaume wakati mwingine muwe mnaridhika hizo nafasi ni za kina mama
Sugu na Mbowe walitaka nyumba zao ndogo waingizwe, Mdee akachomoa
safari hii ruzuku ndogo na hakuna kukatwa lolote
hao walioingia wanafaa kupambana, wanaume wasubiri post nyingime
km vile Zanzibar
 
Dah kwa issue ka hii ndio wamenichosha kabisa maswala ya wanawake ni sensitive wao wanaleta mitazamo yao kandamizi. Inabidi kuwa na upinzani wenye watu waelewa, viti hvo viko kikatiba na kwa bunge hili la kijani ilikuwa na umuhimu kuwa na mawazo mubadala Sasa wao wanaleta blah blah
Upinzani wa tz haujielewi.
Mimi ntakuja kuushabikia ukishajielewa.. siwezi shabikia upinzani maandazi.
 
1. Katibu Mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya kupeleka majina ya wabunge viti maalum kwa tume ya uchaguzi hajawahi kupeleka majina hayo.

2. Wabunge walioelekea bungeni kuapishwa hawana baraka za chama.

3. Tume ya uchaguzi haina uhalali wa kisheria kupeleka majina hayo kwa spika.

4. Spika Hana uhalali wa kisheria wa kuwapisha wabunge wa chadema kwa sababu hawajafuata sheria zilizotungwa na Bunge.

5. CHadema hata wasipowafuta uanachama Hawa tayari siyo wabunge wa chadema kwa sababu hawana baraka za chama Kama taratibu zinavyosema, hivyo wanaingia kwenye kundi la wabunge wa chama tawala maana chama kinautaratibu ambao umetokana na sheria za Bunge.

6. Endapo Chadema watawafuta uanachama bado bunge na tume itawakingia kifua kama walivyofanya kwa yule Mbunge wa Mtwara last time ambaye aliitwa na spika akaambiwa ni Mbunge.

7. Endapo Chadema itaenda mahakaman kufungua kesi, kesi watashinda lakini maamuzi ya mahakama hayatafanyiwa kazi kwa sababu bunge limejijengea msingi wa kuwa muhimili usioingiliwa.

8. Pamoja na Chadema watatekeleza wajibu wao Kama formality kwa kuwaondoa uanachama ili waruhusu kupata viongozi wapya watakaoendelea pale wenzao walipoishia.

9. Move hii inavyochezwa inalengo lakutengeneza CCM B ndani ya CCM ambapo watu Chadema wana mkakati wa muda mrefu wakuandaa vijana watakaopata ajira ndani ya serikali na ndani ya CCM kwa kuzingatia uwezo wa vijana hao kujenga hoja.

10. CHadema wanaelekea kukamilisha kazi yao ndani ya ccm, nguvu kubwa inayohitajika nikuimarisha mizizi kwenye dola ili lengo la TANZANIA HURU LIWEZE KUTIMIA.

11. Uhuru ni mchakato mkubwa, mpasuko wa ccm wa miaka ishirini mbele ulianza mwaka 1984, tuendelee kuvumilia na kuandaa watoto wetu kuja kuturejeshea Tanzania yetu.
Mnapata shida sana. Zote ni porojo ukweli ndio huu
 
Yaani haujapita hata mwezi mmoja leo mna m-snitch Tundu Lissu???????

fottuto Madonna!
Wengine wamekimbilia Kenya wakidai kuwa Tz Hali si shwari, Sasa sijui hii itatafasirikaje tu🤔
 
Chadema walipeleka hayo majina wenyewe na wanapata mgawo wa hao wabunge VM. hawaweki wazi ili kuepuka shari na wafuasi wao wanataka mpoe kwanza na msahau kama kawaida ya nyumbu.

Boss hanuniwi.
 
Inacho Uma Mwenyekiti Amekaa Kimya Sana Kwenye Ili Swala Sijui Ana Maana Gani Na Niswala Kubwa Na Gumu Lakini Yuko Kmy Au ndio lile Biti alilopigwa Na Mdee Kua Atatoboa Siri Za Ndani so sad
Aache kupiga hela,Ili akuridhishe wewe au?😂😂
 
Alipoulizwa chama kitachukua hatua gani baada ya kutokea kwa jambo hilo, Mnyika amesema, “tumeshaona tutakaa na kujadiliana na kueleza hatua tutakazochukua. Kwa sasa tambueni hatukupeleka orodha.”

Hata hivyo, Halima Mdeecwakati akizungumza baada ya kuapishwa kwa niaba ya wenzake alisema wamepata baraka za chama hicho huku akimtaja mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Kama kauli hii kauli ya Halima ina ukweli ndani yake basi Mbowe anatakiwa kujiuzru haraka kwa ajili kulinda heshima ya chama vinginevyo ajitokeze mapema kukana ili

Asante
 
Back
Top Bottom