Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Niliacha ushabiki wa hivi vyama siku kina Mbowe, Lissu, Lema na Mchungaji Msigwa walipomsafisha Lowassa.
Tunasubiri ACT nao kule Zanzibar waunge juhudi.
Africa bado tuko kwenye level ya kuhangaikia zile issue tatu alizozitaja Nyerere: Chakula (njaa), magonjwa na elimu.
Mpaka tumalize haya ndipo tunaweza kufanya siasa safi na zenye malengo sahihi.
Tunasubiri ACT nao kule Zanzibar waunge juhudi.
Africa bado tuko kwenye level ya kuhangaikia zile issue tatu alizozitaja Nyerere: Chakula (njaa), magonjwa na elimu.
Mpaka tumalize haya ndipo tunaweza kufanya siasa safi na zenye malengo sahihi.