Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Sasa kama wanawake wanapambana wanaibiwa kura wanafight back mpaka wanawekwa ndani wanavunjwa mikono wanadhalilishwa wakikipigania chama watoto wa kike huku wanaume wakiufyata unategemea mwisho wa siku iweje?

Waje wafe kisa nini? Ata mke wako akikuona wewe ni boya muoga wezi wanakuja wewe unaingia uvunguni huku yeye anapambana mpaka anaumizwa unafikiri ataendelea kukuvumilia?

Mwisho wa siku atakutema
 
1. Katibu Mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya kupeleka majina ya wabunge viti maalum kwa tume ya uchaguzi hajawahi kupeleka majina hayo.

2. Wabunge walioelekea bungeni kuapishwa hawana baraka za chama...
Kwa kweli mii bado niko neutral katika hili la wabunge wa viti maalumu.

Sijapata ushahidi concrete wa kunithibitishia kuwa wana baraka za chama au la. Nitaweza kutoa msimamo wangu binafsi katika hili nitakapokuwa na ukweli halisia.

Ila kwa watanzaninia niseme hivi,

Hawajawa tayari kufanya mageuzi yaani wanaupenda utumwa wao ama kwa kujua au kutokujua kuliko wengi tunavyofikiri.
Kipindi Mrema akiwa mpinzani kweli alijashtuka kuwa anawapigania watu ambao hawajitambui na hata hawajui kutofautisha kati ya haki na batili.

Kwa jinsi hii Mrema aliamua kupiga about turn na kufanya siasa za kinafiki kwa maana ya ku survive binafsi yeye na familia yake.
Wengi tunaweza kumdhihaki lakini kimantiki hatuna uhalali huo baada ya kuwa sisi ni jamii isiyojitambua kabisa kwamba tunataka nini na kwa wakati gani na ni kwa jinsi gani ya kukichukua, ukilinfanisha na mataifa yote yaliyotuzunguka.

Sasa ukija kwa Chedema watu wamejitoa muhanga kuwapifania wananchi kupewa haki yao ya uhuru kamilikatika nyanja zote kwa kuhatarisha maisha yao. Baadhi wamenyang'anywa mali zao na hata kuharibiwa kwa mashamba yao ya mboga, wengine wameuawa bila hata nzi kukamatwa wala kutuhumiwa kuhusika na kifo chao, wengine wamemiminiwa risasi mchana kweupe bila hao wahuni kujulikana, wengine wana zaidi ya kesi tano za kubambikwa mahakamani.

Juzi katika kampeni viongozi walijitoa na kuhatarisha uhai wao maana waliachwa na vyombo vya ulinzi kama swala wasio na kinga, wakuu wa wilaya wamewafuata hadi majumbani na bunduki, wakuu wa polisi walijiapiza hadharani kuwa hawatawaruhusu washinde.
Kibaya zaidi atendo haya yote ya kihalifu bila kufuata utaratibu raia waliyaacha yapite hivi hivi bila kuchukua hatua yoyote hata maandaamano ya amani kuonyesha/ kuashiria kukataa huu uhuni yaliyoitishwa na hao waliokuwa wakiwapigania.

Huu uhalali wa kuwashutumu baada labda ya wao kugundua wanaopiganiwa hawapo tayari mnaupata wapi na kwa kigezo gani?
Katika biblia kulikuwa na maachilio ya watumwa kuachwa huru warudi makwao yaani mwaka wa 49 na hamsini ndio maachilio.
Lakini mtumwa ambae aliona gana haja ya kuachwa na bwana wake ili awe huru, alitakiwa na sheria apelekwe kwa kuhani hekaluni na halafu kisha atobolewe sikio lake kama ishara ya kumfanta mtumwa milele.

Ndivyo ilivyo kwa watanzania. Kwa matendo yao katika utawala wa kiimla wamechagua kwa watumwa.

Kuwapigania ni sawa na kuupaka upepo rangi.
 
Wamepigwa wameumizwa wamewekwa ndani pale walopoibiwa kura walifight back wanaume wakina mbowe walikuwa wapi jibu ni waliufyata leo hii unategemea wafanye nini ?
Wanasiasa wote ni opportunists. Tumbo na maslahi yao mbele - all the time!
 
Kosa kubwa sana la Chadema kama chama ni kumrudisha Mbowe kwenye Kiti hicho.

Mbowe ni tiss wa siku nyingi sana tangu akiwa benki kuu.
Huwezi kuingia benki kuu kienyeji.

Mbowe ni zao la makada wanaotumiwa na watia nia za urais ndani ya CCM.
Mbowe akatofautiana na JPM kwa sababu JPM hakuwa na makundi 2015 . Ndio maana Mbowe akamchukua Lowasa mana Lowasa alikua ni kindi la JK tangu mwaka 1995.
Kwa hiyo wanachama wa Chadema wengi wanatumika tu bila kujua. Ila ukweli ni kwamba Mbowe anatumia chama kama Kampuni binafsi.

Hapo kuwapeleka akina Mdee ni kwa maslahi binafsi na sio chama.
Ndio maana Mdee alipokua ana mshukuru Spika Ndugai alimtaja Mbowe zaidi ya mara tano akimshukuru kwa kuwapeleka Bungeni. Hakushukuru Maamuzi ya Chama.

Mbowe anafanya upuuzi Mwingia makusudi ili kama wale wenye akili timamu wakikwazika au wakiona ujinga unaofanywa makusudi basi waondoke na kuhama chama .Mwishowe Mbowe abaki Mwenyewe kwenya Chama bila kuwa na mtu mwenye uwezo na ushawishi zaidi ya ndiyo mzee.

Hapo Mbowe ameshapata uhakika wa kupewa mil. 20 kwa kila Mbunge na ole wake atakayekaidi atafukuzwa uanachama na kupoteza mil.12 kwa mwezi.

Hakunaga Mangi fala kwenye helerry.

Mnyika kama hiyo kauli yake ni kweli ni bora akahama tu hicho chama au akajiuzulu .
Lakini pia tundu Lisu ajiuzulu umakamu ili Mbowe abaki na chama chake.

Mbowe kwa miaka mitano amekiongoza kwenye mambo ya hovyo hovyo badala ya kufanya siasa na kuwakilisha jimbo lake mpaka akawapa CCM nafasi ya kusema hicho ni chama cha kupinga maendeleo.

Kwa miaka mitano Mbowe amehamasisha Watanzania wasijiandikishe na wasipige kura matokeo yake akashiriki uchaguzi huku akijua chama chake kitakosa wapiga kura wa kutosha hasa vijana ambao walimsikiliza mfanyabiashara na mkurugenzi wa kampuni ya Chadema na kugoma kujiandikishe.
 
Hatuwezi kukilaumu chama mpaka sasa , Nina hakika hakijapeleka majina labda Kama kamati kuu itakuja na na maamuzi ya utopolo wa kuridhia ujinga uliofanywa na kina Mdee.

Labda mtu asiyemjua Jiwe , hao kina Halima Mdee mpzka wanaingia bungeni Leo wamefanyiwa ugaidi wa hatari mpaka hotuba wameandikiwa maneno anayoyataka Mhutu akose hela za wafadhili kisa wajumbe wa PAC na LAAC ? .
 
Huyo Mnyika Ni Mpumbavu Tu Yani Anacheza Movie Na Mwenyekiti Wake Halafu Anaongea Uongo Hapa Bila Aibu, Shenzi
 
Mbowe, Mnyika, Mdee na wabunge wengine wote lao moja, hapa aliechwa kwenye mataa ni Lissu tu namwonea huruma Sana.

Hizi salaam afikishiwe Lissu na mamluki wake (Bob Amsterdam). Hii ndiyo Tanzania bwana! Wao waendelee kubweka tu mpaka ifike 2025 wapigwe tena kipigo cha mbwa mwitu, kwa mara nyingine!
 
Biashara mchezoii???
Mtu hajawahi kufanya biashara hata ya kuuzA kuku
Biashara tuachie wenyewe wewee
Sio kila Mtu anaweza

Ni kweli usemayo lakini kuna biashara nyingine hazihitaji uzoefu mkubwa,kwa mfano mdee amejenga nyumba ya zaidi ya Tsh 400m ,wakati akiwa mbunge alikuwa anauwezo wa kupata mkopo hadi wa mil 600, kama angejipanga vizuri ,angejenga hata nyumba za mil 40 kama 15 hivi na angeweza kupangisha kwa DSM kodi ya llaki 2 kwa mwezi.

Kwa nyumba 15 yaani 200,000/= * 15 angekuwa anaingiza 3m kwa mwezi.
 
Baada Ya Haya ya Leo kwa hawa watu wanaojiita CHADEMA Nadhani tumeelewa kabisa hawa jamaa hawafai na hawaaminiki....Hili ni genge la watu wanaotumia kivuli cha upinzania kujineemesha wao huku wakikisema vibaya CCM.Bila CCM hawa hawapo kabisa.

Hebu fikiria Ungeandamana ukauwawa kwa ajili ya Halima Mdee au Bulaya au sijui Salome Makamba leo hii umeuwawa au umevunjwa Miguu ....

Fikiria Hawa akina Mdee ndio wangekua Mawaziri kama (Mungu aepushie mbali) wangeshinda Urais je hawa wasingeuza nchi??

Ushauri Kwa Mbowe Jiuzulu..Hutoshi...umeonyesha Hutoshi kwa muda mrefu sana.
 
Kweli hili lichama ni lisaccos la mbowe! Hahahahaaaaaa

Vijana mtakuja kuvunjwa miguu kwa ajili ya hawa wapuuzi!

Unalemazwa kiuno na FFU halafu baadae unamuona mbowe anakunywa divai na magufuli ikulu ya chamwino.
Bado kuna watu hawaelewi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo maana wanaitwa Nyumbu
 
Hapa swala sio Spika na Tume swala inakuwaje hao wanachama wenu waendee kuapishwa kama ni uongo??
Msitudanganye bwana. Inamaana hawa Viti maalumu wa chadema walitekwa mpaka bungeni.

Watanzania sio WAJINGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli usemayo lakini kuna biashara nyingine hazihitaji uzoefu mkubwa,kwa mfano mdee amejenga nyumba ya zaidi ya Tsh 400m ,wakati akiwa mbunge alikuwa anauwezo wa kupata mkopo hadi wa mil 600 ,kama angejipanga vizuri ,angejenga hata nyumba za mil 40 kama 15 hivi na angeweza kupangisha kwa DSM kodi ya llaki 2 kwa mwezi.

Kwa nyumba 15 yaani 200,000/= * 15 angekuwa anaingiza 3m kwa mwezi.
Kweli wewe sio mfanyabiashara
Unafikiri angekuwa anaingiza tu 3m kirahisi
Kila biadhara inataka uzoefu
Kupangisha nyumba achana nako mpangaji analipa Kodi ya mwaka akitoka ameharibu vitu Ili upangishe Tena unahitaj8 kufanya repair gharama juu zaidi
Kumbuka happy umeweka chini 600m halafu unaingiza 3m kwa mwezi baada ya miaka is hiring
3mx12x20 unapata 720m
Ndio atarudisha mtaji wake baada ya 20years
Je atakuw a naishi vp
Kumbuka huo NI mkopo lazima urudi
 
Ni kweli usemayo lakini kuna biashara nyingine hazihitaji uzoefu mkubwa,kwa mfano mdee amejenga nyumba ya zaidi ya Tsh 400m ,wakati akiwa mbunge alikuwa anauwezo wa kupata mkopo hadi wa mil 600 ,kama angejipanga vizuri ,angejenga hata nyumba za mil 40 kama 15 hivi na angeweza kupangisha kwa DSM kodi ya llaki 2 kwa mwezi.

Kwa nyumba 15 yaani 200,000/= * 15 angekuwa anaingiza 3m kwa mwezi.

Wewe unaongelea hypotheticals wakati hapa kuna real problem!

Hizi ange... ange... ange... zako zinamsaidia vipi Halima kwa hali yake ya sasa?
 
Na wakiwafukuza wanahamia ccm kabisaa
Wakienda CCM hawana faida tena. Ili misaada ije kunatakiwa kuwe na mwenyekiti wa kamati ya mahesabu kutoka chama kikuu cha upinzani. Bila kuwepo huyo, wafadhili hawawezi kuleta misaada.

CCM walifanya faulo bila hata kuacha walau majimbo machache, baadaye wakagundua kosa lao. CDM waligoma kupeleka majina yanayotokana na idadi alizopata mgombea wao wa uraisi ili kuwakomoa CCM.

Kwa hiyo, wabunge hao ni muhimu zaidi kwa CCM na serikali yao wakiwa hukohuko Chadema. Subirini muone kitakachofuata wakifutwa uanachama wa CDM. Kilangila.
 
Wewe unaongelea hypotheticals wakati hapa kuna real problem!

Hizi ange ange ange zako zinamsaidia nini Halima kwa hali yake ya sasa?
Hahahaaaa kweli kabisa
Kujenga nyumba upangishe pesa ya mtaji inarudi after 15-20 yrs
Halafu NI mkopo
Anajiongelea tu hajui biashara
 
Back
Top Bottom