Lissu huyu huyu raia wa Ubelgiji?Mnyika si mbaya aandaliwe tu kwa nyakati zijazo, kwa sasa Lisu bado ana uwezo mkubwa kukabiliana na siasa za chama tawala. Itapendeza sana kama atachaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao. Hata mwenyekiti wao mbowe naye bado ana nguvu na uwezo wa kugombea uraisi. Kama kuna makada wengine wenye uwezo wa kushawishi wapiga kura nako ni vizuri tu na ni hazina ya chama chao
Tunataka katiba mpya no bra bra(in maheras voice)Kuna ulazima wa John Mnyika kupewa exposure na kuandaliwa kwa majukumu makubwa zaidi.
Mnyika si mbaya aandaliwe tu kwa nyakati zijazo, kwa sasa Lisu bado ana uwezo mkubwa kukabiliana na siasa za chama tawala. Itapendeza sana kama atachaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao. Hata mwenyekiti wao mbowe naye bado ana nguvu na uwezo wa kugombea uraisi. Kama kuna makada wengine wenye uwezo wa kushawishi wapiga kura nako ni vizuri tu na ni hazina ya chama chao
Mwana CDM yoyote anayewaza Uchaguzi kabla ya Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kwangu ni ADUI kuliko hata mafisadi wa CCM.Shida katiba mpya itaamuliwa na itaamuliwa na mama Samiah.
Watanzania wataamua. Wao ndo walimpa madaraka makubwa, wanataka kumpunguzia.Shida katiba mpya itaamuliwa na itaamuliwa na mama Samiah.
Na mnajiona mpo serious?kweli Tanzania hakuna upinzaniHabari Wakuu!
Ijapokuwa 2020 nilimpigia kura Tundu Lissu ila moyoni sikuwahi kuamini watu wa misimamo mikali like him wanaweza kumake as good President.
Tundu Lissu mbali na CV ya uadilifu iliyotukuka, misimamo yake juu ya demokrasia pamoja na uzalendo wake usioweza kutiliwa shaka; ila bado naamini sio Presidential material anayeweza kuuzika kwa makundi ya rika zote na akazuika vizuri.
Personal, naiona Kabisa nyota ya John John Mnyika ikiendelea kupaa, utulivu wake kwenye kujenga hoja, kiufupi sifa njema alizonazo Tundu Lissu Mnyika anazo ila huyu ana utulivu na atafaa sana kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Upinzani
Kwahiyo wakati Mnyika akiwa mgombea urais, upande wa Pili John Heche akiwa amebeba mikoba ya Ukatibu Mkuu wa Chama, hakika tunaweza kuona Chadema mpya inayoweza kuchukua hata dola au kuongeza wabunge wengi zaidi bungeni 2025.
2025 ulikua wakati sahihi wa Zitto sema ndio hivyo alijichanganya sana 2015-20 alipokua haeleweki msimamo wake ila akiandaliwa mapema alongside Mnyika then watajenga core nzito ya upinzani.Habari Wakuu!
Ijapokuwa 2020 nilimpigia kura Tundu Lissu ila moyoni sikuwahi kuamini watu wa misimamo mikali like him wanaweza kumake as good President.
Tundu Lissu mbali na CV ya uadilifu iliyotukuka, misimamo yake juu ya demokrasia pamoja na uzalendo wake usioweza kutiliwa shaka; ila bado naamini sio Presidential material anayeweza kuuzika kwa makundi ya rika zote na akazuika vizuri.
Personal, naiona Kabisa nyota ya John John Mnyika ikiendelea kupaa, utulivu wake kwenye kujenga hoja, kiufupi sifa njema alizonazo Tundu Lissu Mnyika anazo ila huyu ana utulivu na atafaa sana kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Upinzani
Kwahiyo wakati Mnyika akiwa mgombea urais, upande wa Pili John Heche akiwa amebeba mikoba ya Ukatibu Mkuu wa Chama, hakika tunaweza kuona Chadema mpya inayoweza kuchukua hata dola au kuongeza wabunge wengi zaidi bungeni 2025.
Independent kushinda ni ngumu, kampeni za grassroots ni lazima uwe na foot soldiers ambao ndio wagombea wa vyama kwenye ngazi za udiwani, ubunge, wenyeviti wa vijiji n.k2025 kwa katiba mpya kwa mara ya kwanza tutakuwa na independent candidate mgombea urais atakayeshika nchi.
Habari Wakuu!
Ijapokuwa 2020 nilimpigia kura Tundu Lissu ila moyoni sikuwahi kuamini watu wa misimamo mikali like him wanaweza kumake as good President.
Tundu Lissu mbali na CV ya uadilifu iliyotukuka, misimamo yake juu ya demokrasia pamoja na uzalendo wake usioweza kutiliwa shaka; ila bado naamini sio Presidential material anayeweza kuuzika kwa makundi ya rika zote na akazuika vizuri.
Personal, naiona Kabisa nyota ya John John Mnyika ikiendelea kupaa, utulivu wake kwenye kujenga hoja, kiufupi sifa njema alizonazo Tundu Lissu Mnyika anazo ila huyu ana utulivu na atafaa sana kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Upinzani
Kwahiyo wakati Mnyika akiwa mgombea urais, upande wa Pili John Heche akiwa amebeba mikoba ya Ukatibu Mkuu wa Chama, hakika tunaweza kuona Chadema mpya inayoweza kuchukua hata dola au kuongeza wabunge wengi zaidi bungeni 2025.
Hapana alikua na matatizo ya Figo tu but he's fine now, kichwani alikua "machachari" 2005-2012 ila Dr Slaa alimpika vilivyo akawa ametulia huku alijenga hoja taratibu mpaka huchoki kumsikiliza. Ana ushawishi mkubwa sana hasa alipokua bungeni na pia ana IQ kubwa sana ya kung'amua mambo in a split second.Yasemekana John Mnyika ni mwezi mchanga. Bora kujiridhisha kwanza na Afya yake ya akili kabla ya kumuamini kwa mambo makubwa.
Hata Magufuli alikuwa kichaa ila watu wakapuuza mpaka akawa Rais. Na yaliyotokea yalidhihirisha UKICHAA wake
Alibakiza semester moja tu, so akifunguliwa Ile ban yake ya kutokusoma na serikali. Ana complete hiyo semester anapewa degree yake!! Sio issue kabisaHana degree hana sifa
God bless Lema , ameamza kuelewa . Katiba hata iwe bora kiasi gani, kama uadlifu hakuna, haitoleta mafanikio talajiwa.Tunataka KATIBA mpya kwanza kabla ya Uchaguzi wowote.
Kapige nae picha huyo mgombea wako alokutuma.
Katiba hii unaweza kushinda. kutangazwa, anae takiwa kukutangaza ameapa kuilinda.Kwahyo huyo Mnyika ndo atakuwa Rais nyumma ya keyboard?
Wapuuzi kama nyie ndo mnasababidha CDM ionekane haiko serious kuchukua Dola[emoji51][emoji51]
Kwa akili Yako, kupitia Katiba hii Unadhani unaweza shinda uchaguzi Nchi hii nafasi ya URAIS?
RASIMU alosimamia Judge WARIOBA Ina maadili ya viongozi,God bless Lema , ameamza kuelewa . Katiba hata iwe bora kiasi gani, kama uadlifu hakuna, haitoleta mafanikio talajiwa.
Soma ulichoandika, na Andika tena.Katiba hii unaweza kushinda. kutangazwa, anae takiwa kukutangaza ameapa kuilinda.
No matter , kwambia ameteuliwa na mmoja Wawa gombea.