Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Ametekwa maana Polisi lazima watamkataa kwamba hawajamkamata, kwa hio tayari kuna wadau washafanya yaoDadangu Erthyrocytes ndio zake hizo....mtu wa kutengeneza drama na TAHARUKI....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametekwa maana Polisi lazima watamkataa kwamba hawajamkamata, kwa hio tayari kuna wadau washafanya yaoDadangu Erthyrocytes ndio zake hizo....mtu wa kutengeneza drama na TAHARUKI....
Ndio...Kumbe ni demu?
Sheria ziko...polisi anapokataa...haiishii hapo...Ametekwa maana Polisi lazima watamkataa kwamba hawajamkamata, kwa hio tayari kuna wadau washafanya yao
Sio kila anaekuja kavaa kiraia na Pingu na bastora kiunoni anakuja kukukamata ni Polisi inakubidi uelewe, una haki ya kugoma kukamatwa km huwaelewi wakiweza basi wakuue tu hapo hapo watu wakiona kuliko kwenda kukupoteza usionekane popoteSheria ziko...polisi anapokataa...haiishii hapo...
Hii taarifa yako ina uhusiano gani na taarifa iliyo wekwa kwenye mada?Duh
Hapo Kenya Wanafunzi 17 wamekufa kwa Moto na wengine 70 hawajulikani walipo
Mungu wa mbinguni uturehemu sisi
Angefungulia uzi mpyaHii taarifa yako ina uhusiano gani na taarifa iliyo wekwa kwenye mada?
Kwa kweli nadhani wewe unafanya kazi isiyo kuwa ya kibinaadam na kiungwana kabisa!
Taarifa yako unaiweka kwenye mada hii kwa sababu zipi hasa?
Hebu jaribu kujifikiria tu, wewe ni mtu mzima!
Taratibu kwanza. Hili ndilo wanalo lililia sana hawa watu wanaofanya haya.Imefika mahali ambapo ni lazima Chadema Wajibu Mapigo
Wewe ulikua unajua ni man? HahahaKumbe ni demu?
Haya mambo sio yakuletea dhihaka fahamu kuna roho za watu zinateseka muda huu..Tatizo makamanda mkiambiwa muingie barabarani kuandama mnatoka ndukiii,mnazingua sana makamanda.
Hakuna namna nyingine kwa sasaTaratibu kwanza. Hili ndilo wanalo lililia sana hawa watu wanaofanya haya.
Ni muhimu sana kuelewa wanachofanya na sababu za kufanya hivyo. Ukitumia pupa unajiingiza mwenyewe kama mkizi.
Mimi naanza kuona picha linavyo kwenda...
Ibada ya mizimu haina nafasiLaana ya kumtukana Magufuli inatafuna
Hakuna chama dhaifu duniani kama ChademaImefika mahali ambapo ni lazima Chadema Wajibu Mapigo
Nilijua ni mwanaume kumbe ni mtoto mzuri wahuni tumkamieWewe ulikua unajua ni man? Hahaha
Kuna jambo hapa. Kuna mpango unao tengenezwa kwa maksudi mazima.nchi inazidi kuelekea giza nene taratiibu. Yalianza zamani kidogo; kasi ikiongezeka taratibu huku ikihanikizwa na ujinga, kiburi, uchawa na tamaa ya fisi.
Muda si muda vilio vitakolea kila pande hata kwa wachimba visima. Wote watalia kwa kupokezana; na kwa ujinga uliokithiri, wasielewe wamefikaje hapo.
Utamuweza dada yangu mnyakyusa mwenzangu huyo?!!Nilijua ni mwanaume kumbe ni mtoto mzuri wahuni tumkamie
Watafurahi sana hawa wakifanikiwa kirahisi namna hii unavyo ichukulia wewe. Hiyo itakuwa nafasi nzuri kwao ya kuwaondoa kwenye kibano kinacho elekea kuwakabili.Hakuna namna nyingine kwa sasa