cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwani tatizo nini!!!!Unajisikiaje sasa kwa hii comment?
Vipi mkuu, alichukuliwa au alitekwa?Kwanini unapotosha taarifa aliyotoa mnyika? Yeye kaandika amechukuliwa wewe unaandika ametekwa
Hapo mwisho ameomba mwenye taarifa amjulishe kwakua unajua ametekwa nenda kampe taarifa
Mkuu kuna kanuni ipo hivi, mtu akifanya vizuri mpongeze na akifanya vibaya mkosoe.Nikikumbuka mbwembwe za Chadema walivyo mpokea Samia wakati anaingia madarakani na kumpa tuzo juu;nachoka mimi!
Mkuu umeongea vitu vya msingi sana. Hata paka ukimtaitisha sana na akakosa pakutokea basi kazi unavyo.Vyombo vya usalama viwe makini kidogo na haya mambo, kama kweli kuna utekaji unaohusiana na siasa na tunaufumbia macho kwa sababu labda unatufavor basi tujue tunaeleke kaburini taratibu.
Tutambue mambo ya usalama yanahitaji umakini na busara kubwa sana na sio siasa maana dunia ya leo ina mengi sana tunayoyafahamu na tusiyoyafahamu na yote huwa yanabackfire tukijichanganya.
Hii michezo ikiendelea tutambue hakuna anayekubali uonevu kila siku, Bali tutawajengea watu usugu na kuwafanya waanze kutafuta namna ya kujilinda na hata bargain style itakayofanya wateke ili mbadirishane mateka, lakini pia tutambue huko mitaani hawa watu huishi na viongozi wa kada mbalimbali huku watekwaji nao wakiwa na ndugu zao huko mitaani.
Palestinians imefika mahala hawaogopi tena kufa wala kuumia bali wamebaki na dhamira moja ya kupigana na adui usiku na mchana kwa pamoja, Nasisi sasa tunawalazimisha watu wetu wafike.
Vikundi vingi vya kigaidi na marcenaries wapo na kumilikiwa na mataifa makubwa kwamaslahi ya mataifa husika, Mataifa makubwa moja ya silaha yao kubwa kudestabilize nchi ni pale nchi inapogawanyika na kundi moja kuhisi linaonewa linahitaji msaada, basi kundi hilo husaidiwa mara moja ili kuchafua amani na upande mwingine kwa siri huzidi kuchochea hali pia kupitia watawala, hapo mtajikuta mnapigana hovyo hovyo bila hata kujua mnapigania nini.
Mwenyezi Mungu ametutunuku Amani basi tuilinde Kwa kudumisha umoja.
Watazania ifike mahali tuseme imetosha. Mimi siki hao majabazi wanajiita polisi au usalama wakiji kunikamata sitakubali kwenda nao popote watamaliza kazi yao hapo walipo nikuta, baada ya mimi kufanya kila niwezalo kujiokowa.Hata Magufuli kabla hajafa alijua atakuwa Rais Milele, ndio maana alilazimisha viongozi wa ngazi zote kununua viwanja Chato
Sikushangai wewe mtu duni kujidanganya kama hivyo
Wanyama ndio niniKwani tatizo nini!!!!
Si alichukuliwa na ndio ikawa wanyama.
muda utaongea hata mimi nawaza ivyo ivyoSuala la kifo cha mzee Ali binafsi sioni kama linafanana na matukio mengine ya kutekwa .
Hawa watu ni either Wana Usalama wenzake au Wana CHADEMA .Kwa hali ilivyo Mzee wale watu angekuwa hawajui asingekubali kushuka kirahisi na kuongozana nao , na kuna uwezekano mkubwa wale watu anawajua .
Je hawa watu ni kina nani ?
Wewe ndio unaelewa sana ?Ni nini hiki? Hebu acha kejeli kwa upupu wako huu. Kama hujui lolote baki kimya...wanaojua wataweka mambo yote wazi. Imeagizwa na itatekelezwa.
Naona tunajaribu kufananisha na matukio mengine kwa Ngumumuda utaongea hata mimi nawaza ivyo ivyo
Sielewi na ndiyo maana nimekuwa kimya. Wapo wanaojua na wataongea katika mfumo rasmi. Acha ujuaji na roporopo. Be warned!Wewe ndio unaelewa sana ?
Wanaojua ni watekaji wengine tuna hisi tuSielewi na ndiyo maana nimekuwa kimya. Wapo wanaojua na wataongea katika mfumo rasmi. Acha ujuaji na roporopo. Be warned!
acha kutisha watu,wao wanavyoo tuhumu jeshi wanaushahidi, na sisi pia kwa jicho la tatu tunaona kua wanaumizana wenyewe kwa wenyeweSielewi na ndiyo maana nimekuwa kimya. Wapo wanaojua na wataongea katika mfumo rasmi. Acha ujuaji na roporopo. Be warned!
Kwahiyo awakubalie watu wa CHADEMA wampige pingu?Suala la kifo cha mzee Ali binafsi sioni kama linafanana na matukio mengine ya kutekwa .
Hawa watu ni either Wana Usalama wenzake au Wana CHADEMA .Kwa hali ilivyo Mzee wale watu angekuwa hawajui asingekubali kushuka kirahisi na kuongozana nao , na kuna uwezekano mkubwa wale watu anawajua .
Je hawa watu ni kina nani ?