Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ukweli Mkwere ndiye mtu hatari zaidi kwasasa akifuatiwa na Rost tamuKikwete na Lowassa kuelekea 2005 walicheza rafu nyingi sana za hatari ambazo zimewagharimu/zitawagharimu. Kingunge kang'atwa na mbwa kama, Lowassa kateseka sana na zamu ya kikwete inakuja.