MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
So sad..Mwenyezi Mungu amnusuru saa hizi anachezea kichapo cha kufa mtu huku akiwa kazibwa macho ili asiwaone wabaya wake huku kukiwa na mwanga mdogo sana.
Mkuu taratibu tutaifikia Sudan ya Al Bashir..
Walianza-ga hivi hivi.