lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Utawakuta jumapili kanisani kama kawaidwa hivi wanatumia Bibilia ipi?Haya niliyajua!! Kwa yale majibu yake na habar zake ni lazima yatokee!!
Sasa hapa tz uhuru uko wapi!?
Aheri yule mjomba avae tu gwanda za kijeshi, awe anatawala kijeda tujue moja.