John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Magari mawili aina ya Nissan Patrol na Toyota Landcruzer (yasiyo na namba za usajili) yakiwa na watu kadhaa wenye silaha za moto wamevamia eneo la kazi la Ndugu Mpaluka Mdude Nyagali, maarufu kama Mdude Chadema dakika chache zilizopita. Mdude ni fundi wa Computer na masuala ya IT na ofisi yake ipo maeneo ya Vwawa, huko Mbozi.

Watu hao wamefyatua risasi moja hewani na kuwaamuru watu wote waliokuwemo kulala chini kisha wakamchukua Mdude na kuondoka nae kwa mwendo wa kasi. Baada ya kuondoka mashuhuda wa tukio hilo wameenda kutoa taarifa kituo cha polisi Vwawa lakini bado hawajachukua hatua yoyote.

Nimezungumza na baadhi ya mashuhuda waliokua eneo la tukio, Mbunge wa Viti maalumu Songwe mama Sophia Mwakagenda, na Mgombea ubunge wa Vwawa Ndg.Fanuel Mkisi ambao wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Tunaomba tupaze sauti kwa nguvu ili Mdude apatikane akiwa salama.!
maelezo hayana mtiririko wa kueleweka.
 
Ndio Nani huyo mdude
Huyu apa
tapatalk_1554741426988.jpeg
 
Inategemea kama ni MTU anayefahamika akizuiliwa na polisi umma ujulishwa,MTU wa kawaida uongozi wa mtaa na majirani ujua. Acheni kukwapua watu mtasaga meno mbele ni kujibu historia
Wewe hebu acha kupotosha watu. Kasome Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai, hakuna sehemu imeandikwa polisi wanapomkamata mtu awe maarufu au yoyote wanapaswa kuutarifu umma. Jukumu la polisi ni kumuarifu mtuhumiwa mwenyewe sababu za kumkamata na si vinginevyo. Hiyo ya viongozi wa mtaa kujulishwa ni pale wanapotaka kufanya upekuzi na siyo kukamata.
 
Kwa siasa za kipumbavu hizi ndio zimtoe magufuli madarakani...? hebu kueni serious kidodo chadema
 
Eti Mdude!!

Btw ni jina lake au typing errors?
 
Chadema waite press conference mapema sana kesho kabla ajaliwa na waliokula ya Ben.Mwewe ukipiga kelele ukitupa kifaranga mwewe alimtupa Roma, ney wa mitego,kipanya,mo, malisa, nondo.Ben azory watu walichelewa kupiga kelele wasiojulikana ni wale wale
 
Kwa siasa za kipumbavu hizi ndio zimtoe magufuli madarakani...? hebu kueni serious kidodo chadema

Usipoteze direction Hakuna wazungu watekaji hapa.Mbinu za kishamba kweli hadi kila MTU anajua
 
Kwa huyu jamaa sijashangaa, it was a matter of time tu.... ila wananchi nao hata namba za magari hawakupata! Au wanaogopa ushahidi?
 
Watawala awapendi somewa Vitabu walivyoviandika wenyewe
 
Wasiojulikana kile kitengo maarufu cha Dikteta pale Ikulu ili kuwanyamazisha wanaomkosoa kwa kuwateka, kuwatesa na hata kuwaua kimeibuka tena kwa kasi ya kutisha.
Baada ya hali ya hewa ya mbeya kuchafuka vibaya
 
Watakuwa bado Dar hawajafika, hivi hawawezi kuwablock njiani hao watu maana hayo magari tayari yanajulikana.
 
Back
Top Bottom