John Mrema akanusha taarifa za kifo chake zilizoenea mtandaoni

Pigo la 6 kwa balozi wa Chama cha Akina James Delicious Africa!
 
Huyo bwashee anajulikana na nani hadi azushiwe kifo?
Nimekutana na michango yako ya kizandikizi na ya kihila hii ni mara ya pili kwenye thread mbili tofauti ndani ya muda huu mchache, kwanini huishi mtaja mtu kwa kabila lake, inakusaidia nini au unafaidika na nini ukifanya hivyo? Pia wewe ni kabila gani ili tuende sawa?
 
Chadema wataalam wa kuvumishia wenzao vifo sasa naona wameanza kuvumishiana wenyewe kwa wenyewe: chickens have come home to roost!
 
Sio kuwa ccm ndo wamelileta hili ili lile la faru john wa kule nairobi lipungue kufuatiliwa??
Ah jiwe kweli kweli korona inamuonyesha adabu na kumtaka ahache dharau
Chadema wataalam wa kuvumishia wenzao vifo sasa naona wameanza kuvumishiana wenyewe kwa wenyewe: chickens have come home to roost!
 
Mi sijui kabila lake, ila najua aliwahi kusema humu kuwa nyumbani kwao ni Useri (Rombo), sasa sijui atakuwa kabila gani?!
 
Inawezekana wanaccm wamekuweka wewe kuwa mbadala.
 
"wakienda nyumbani kwangu ... nipo nyumbani kwangu". Sasa vipi uoneshe haukuwepo nyumbani halafu upo nyumbani na wale walioenda nyumbani kwako hawakukuona. Una nyumbani ngapi?

Sasa hiyo ya taifa linastahili kupata taarifa inaingiaje hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…