John Mrema akanusha taarifa za kifo chake zilizoenea mtandaoni

Kuna siku fahamu zitarudi na utajua maana ya upinzani.
upinzani hawajawai kuwa ni watu wenye akili hapa Tanzania, hawajitambui wanasahau, hawana vision, kwa kifupi hawajielewi. Mara wamponde Kikwete mara tena wamsifie mara wamponde Mwinyi mara tena wamsifie, hivi hawa wanatumia akili sawasawa kweli, unawezaje kumponda mtu alafu wakati huo huo umsifie tena, kama sio ufyatu ni nini.
 
Tatizo kwa sasa taarifa za uvumi na ambazo siyo za kweli zimekuwa zikipewa kipaumbele sana, tumekuwa na kizazi cha ajabu kuliko hata maajabu yenyewe.
Ukisema "tumekuwa na kizazi cha ajabu" unamaanisha namba moja anaivuruga familia!?

Uvumi huja baada ya ukweli kufichwa,

halafu tu ktk kumbukumbu zako kuna jiwe gani kuu lililopita watu walitamani na kulitakia mabaya kama hili la sasa?

Umemjua mchawi sasa?
 
HAKUNA ubaya hata akifa maana HAKUNA wa kuishi milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…