Uchaguzi 2020 John Mrema amuwekea pingamizi Bonnah Kamoli (CCM)

Mwaka huu tutaheshimiana tu!!

Sheria walizozituna wenyewe sasa zimeanza kuwatafuna.
Mbaya zaidi waliowengi kwa maslahi yao hata Kama mbaya inaletwa kwa hati ya dharura na kupitishwa tu kwa kusema ndioooooooo.
 
Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gani hawaelewi hapo kuhusu majina.
 
CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kitambuisho cha kura kinaonesha Bonnah Ladislaus Kambi


Majina ktk fomu ya uchaguzi ni Bonnah Ladslaus Kamore
.....................................................

My take, ww muweka pingamizi nawe hujajipanga katika barua ya maelezo yako ya pingamizi umetaja majina mawili tofauti kamore na kamole.

Nani ni nani na nani si nani?


Tanzania bhana kila kona blaah blaah
 
Hii ni ishara ya nini vile?

Ndio ile amsterdam anaita haki za kujumuika au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…