Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
Jinga kabisa wewe,mpore fumo,mteke watu ...mtumie policeccm bado mseme mnaoneweCCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
Haya sasa ndio mapingamizi, hachomoi mtu
Nasikia wameanza kuomba maridhianoMagufuli anakatwa kesho....... Mark my words
Hatari yanini? kwa sasa yeye sio Rais ni Kama Rungwe tuNEC wakimkata JPM si ni hatari
Huyo ni mkimbizi,kwahiyo arudi kwao rwanda...ccm ni kichaka cha wahamiaji haramuChadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gabi hawaelewi hapo kuhusu majina.
Hahahhaa mzee nyamaza kabisa ukianza kusaka nani ni mtanzania halali hapa unaweza jikuta hata ww ulitakiwa kuwa sero ukisubili urudishwe kwenu.Huyo ni mkimbizi,kwahiyo arudi kwao rwanda...ccm ni kichaka cha wahamiaji haramu
Hapo unajiona umekuja na utetezi wa maana kweli. Hebu rudi kwenye pingamizi kama limetaja jina la Moses? Wenzako wanajua wanachokifanya!Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gabi hawaelewi hapo kuhusu majina.
Mtego wa panya, umenasa paka wa nyumbaniMwaka huu tutaheshimiana tu!!
Sheria walizozitunGa wenyewe sasa zimeanza kuwatafuna.
Unajua nini maana ya deed poll?Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gabi hawaelewi hapo kuhusu majina.
Umetajiwa sheria ya uhamiaji sio civics ya form 2Form two civics kuna uraia wa aina tatu.... Kama she was born in Tanzania bila kujali wazazi wake sio watanzania huyo ni mtanzania kwa kuzaliwa...
Its not just kuweka pingamiz lakini mapingamiz yawe na maana...
Bado mtapiga sana hayo ma-duwa ya kuku!! Si ulituchosha na matusi humu, tulikua tunakuangalia tu, na tunakuangalia tu, pambio zinakata sasa mnakemea pepo, limewang’ang’ania halitoki!!CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.