Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Siamini kama Nawatafuta umeandika hivyo! Au akaunti yako imedukuliwa kama ya Musiba Twitter?CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.