Uchaguzi 2020 John Mrema amuwekea pingamizi Bonnah Kamoli (CCM)

Uchaguzi 2020 John Mrema amuwekea pingamizi Bonnah Kamoli (CCM)

Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gani hawaelewi hapo kuhusu majina.

Kubadili jina ni swala la kisheria mkuu. Unataka kusema account yake ya benki inasoma Bonna Kaluwa na akiombwa kutoa kitambulisho akatoa cha Bonna Komoli atachukua pesa??

Kitambulisho chake cha taifa, mpiga kura na hati ya kusafiria vilipaswa kuonesha mabadiliko hayo.

Acha utani bwana
 
Kubadili jina ni swala la kisheria mkuu. Unataka kusema account yake ya benki inasoma Bonna Kaluwa na akiombwa kutoa kitambulisho akatoa cha Bonna Komoli atachukua pesa??

Kitambulisho chake cha taifa, mpiga kura na hati ya kusafiria vilipaswa kuonesha mabadiliko hayo.

Acha utani bwana
mimi naona bidada ana majina matat
bonah kulwa
bonah kamoli
bonah kambi

atuambie hao wote wamemuacha au anafoji vyeti
au ndo jasusi wa pk pale mjengoni
 
Hahahhaa mzee nyamaza kabisa ukianza kusaka nani ni mtanzania halali hapa unaweza jikuta hata ww ulitakiwa kuwa sero ukisubili urudishwe kwenu. Nchi yeyote yenye maendeleo Duniani ni nchi iliyokubali wageni tunaitaji akili ya kuleta maendeleo kwani akichimba visima Segerea au akijenga hospital segerea mwanao akienda shule na kukaa ktk madarasa mazuri je anaefaidika ni mtoto wa Kigali au Gisenyi ?
Huyo ni mkimbizi arudi kwao rwanda
 
Huyu dada hakuna alichofanya huku segerea zaidi ya kututia hasara tu. Barabara ni mbovu kuanzia tabata Bima hadi huko kimanga yote urudi chang'ombe kuelekea kinyerezi....
 
Huyu dada hakuna alichofanya huku segerea zaidi ya kututia hasara tu. Barabara ni mbovu kuanzia tabata Bima hadi huko kimanga yote urudi chang'ombe kuelekea kinyerezi....
Mmmh Kumbeeeee. Sasa wanaomchagua wanapaa angani nini, mashimo hayawahusu!
 
Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gani hawaelewi hapo kuhusu majina.
Nasikia kwa sasa ni nyumba ndogo ya yule msomali wa Nzega
 
Siasa ni mchezo usiohitaji hasira Jana habari ilikuwa kupita bila kupingwa leo Ni Pingamizi kwenda mbele kuanzia Kesho taarifa Ni pingamizi kutupiliwa mbali na NEC.​


😀😀 certified for sequential arrangements
 
Kitambulisho cha taifa, Taifa linamtambua kama nani??? na kwanini Taifa limtambue kwa Jina lingine na akaombe dhamana kwa jina lingine???
Huyu n wakuadhibiwa akawe fundisho kwa wengine
Sipati picha tabasamu pana la ex mume wake huko aliko kama atakatwa....
 
Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gani hawaelewi hapo kuhusu majina.
Nadhani tatizo ni unyumbu tu. Tangu lini nyumbu hubadili uelekeo kulingana na mazingira? Yeye huenda mbele bila kujali anakoenda ni wapi.

Ila mkuu umenipoza moyo! Nilishapotezana na akili zangu hapa. Jamaa alivyoshuka essay hapo juu, nikahisi ni kweli 100%
 
Kitambulisho cha taifa, Taifa linamtambua kama nani??? na kwanini Taifa limtambue kwa Jina lingine na akaombe dhamana kwa jina lingine???
Huyu n wakuadhibiwa akawe fundisho kwa wengine
Asante popoma wangu nyumbu mkalia mgongo badala ya makalio.
 
bona ni mbaguzi sawa na bossi wake kwa kuyabagua maeneo yenye wapinzani kuyanyima maendeleo huku wakiwaibia kodi zao.
alishinda sababu yakubebwa na tume kutowatendea haki cdm
 
Back
Top Bottom