Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Siamini kama Nawatafuta umeandika hivyo! Au akaunti yako imedukuliwa kama ya Musiba Twitter?CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
Ni mambo ya kiufundi tu hayo.Ukibugi watu wanakupiga hapohapo.Chadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gabi hawaelewi hapo kuhusu majina.
NEC wakimkata JPM si ni hatari
muwe mnasoma vizuri umeambiwa Kuna kaluwa,kamoli na kambi kwny usajili wa nida umekimbilia kaluwaChadema wanaangaika sana hv wameshindwa kujua Bonna aliachana na aliyekuwa mumewe Mr Moses Kaluwa ? Bonna alikuwa anatumia jina la mumewe ,Bonnah Kaluwa alibadili majina yake na sasa yanasomeka kama 'Bonnah Kamoli lakini tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado imeendelea kutumia majina yake ya awali ya ‘Bonnah Moses Kaluwa. sasa ni kitu gabi hawaelewi hapo kuhusu majina.
Hebu usituchoshe.CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
Hapa umeshapanic.
Yuko vzr sanaHahahaha unamuelewa kwa yale mambo Ovu?
Chukua tu mkuu, lakini ujiandae kupigwa chini kama mwenzio alivyofanywa mwaka juzi.Dah ila namuelewaga sana bonnah
Hapo mmenipa mtihaniii
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ccm inayomjua na kumtegemea Mungu iliishia miaka hiyo. Hii inategemea Polisi na Tume.CCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
miungu ipo mingi ipi hiyo unasemeaCCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
Maajabu haya Leo na wewe unalialiaCCM inaonewa sana uchaguzi huu,CCM ishatukanwa,ishapakqziwa kila tuhuma.
ila sawa tu Mungu yupo mwisho wa siku Mungu ataisimamia CCM na itapata ushindi wa kishindo Inshallah.
aweke vyeti,Naona kama hoja yake ina mashiko.