Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Miaka mitano iliyopita niliandika uzi kuhusu jimbo hili baada ya kutomuona mgombea wa wakati huo akifanya kampeni za nguvu...
Julius Mtatiro toka mafichoni Segerea inakwenda
Leo narudia tena kumtahadharisha ndugu Mrema aanze kampeni mapema maana hajulikani sana ngazi ya jimbo. Hili jimbo si lelemama. Yule dada hajafanya lolote kwa miaka mitano jitahidi kutumia nafasi mapema.
Come out.....
Julius Mtatiro toka mafichoni Segerea inakwenda
Leo narudia tena kumtahadharisha ndugu Mrema aanze kampeni mapema maana hajulikani sana ngazi ya jimbo. Hili jimbo si lelemama. Yule dada hajafanya lolote kwa miaka mitano jitahidi kutumia nafasi mapema.
Come out.....