Uchaguzi 2020 John Mrema jimbo la Segerea sio lelemama, toka mafichoni

Uchaguzi 2020 John Mrema jimbo la Segerea sio lelemama, toka mafichoni

Nje ya mada kidogo

Picha za wagombea kwenye karatasi za kura zingekuwa zinawekwa nzima nzima, Bonnah angeshinda kila uchaguzi
 
Nakupa taarifa sahihi na siyo porojo za mitandaoni.

Bonna Kamoli akishinda segerea itakuwa ni moja ya maajabu hapa duniani.

Mrema anafanya kampeni, ila kampeni za sasa hivi kwa ngazi za udiwani na ubunge majukwaani unapoteza muda tu.

Kampeni zinafanyika kwa kuyafikia makundi maalum, vyama vya hiyari, timi za mpira mitaani, vicoba and likes.

Ukimya mnaouna ni ukata wa pesa, wagombea hawana pesa.

Bonna hatopigiwa kura na wanaccm wengi sana, hakubaliki kabisa amini ninachokwambia, kwenye kura za maoni alipita kwa kuhonga mpaka laki tatu kuna wajumbe watata walivuta.

Bonna akipewa tena ubunge kwa njia yoyote ile ni majuto kwa wanasegerea wote, ametumia pesa nyingi sana mpaka dakika hii, mtu wa aina akitangazwa mshindi ndio mmemalizana hamtoonana tena atakuwa bize kurudisha pesa alizotumia kuhonga.

Jimbo la Segerea halihitaji kelele nyingi tayari watu wana maamuzi yao wakiwemo wana ccm wengi tu.
Mkuu Matola naheshmu maoni yako. Binafsi sioni hizo kampeni za mtaa kwa mtaa. Mimi ni mkazi wa huku nashinda huku nazunguka huku sioni hizo harakati. Ingawa kuna vikao vya usiku huwa nasikia hapo toto Tundu.

Anyway tusubiri 28-10.

Nilisema kuhusu Mtatiro 2015 ulinishukia jumla jumla. Tungoje kwa Mrema vs Bonna
 

Attachments

  • bonnah_kamoli_20201023_181924_0.jpg
    bonnah_kamoli_20201023_181924_0.jpg
    82.2 KB · Views: 2
John Mrema hana mvuto bora hata tungemuweka wakazi wa ACT kama angelikua hajapata Jimbo la kugombea.
 
Nakupa taarifa sahihi na siyo porojo za mitandaoni.

Bonna Kamoli akishinda segerea itakuwa ni moja ya maajabu hapa duniani.

Mrema anafanya kampeni, ila kampeni za sasa hivi kwa ngazi za udiwani na ubunge majukwaani unapoteza muda tu.

Kampeni zinafanyika kwa kuyafikia makundi maalum, vyama vya hiyari, timi za mpira mitaani, vicoba and likes.

Ukimya mnaouna ni ukata wa pesa, wagombea hawana pesa.

Bonna hatopigiwa kura na wanaccm wengi sana, hakubaliki kabisa amini ninachokwambia, kwenye kura za maoni alipita kwa kuhonga mpaka laki tatu kuna wajumbe watata walivuta.

Bonna akipewa tena ubunge kwa njia yoyote ile ni majuto kwa wanasegerea wote, ametumia pesa nyingi sana mpaka dakika hii, mtu wa aina akitangazwa mshindi ndio mmemalizana hamtoonana tena atakuwa bize kurudisha pesa alizotumia kuhonga.

Jimbo la Segerea halihitaji kelele nyingi tayari watu wana maamuzi yao wakiwemo wana ccm wengi tu.
Uwepo wa Mgombea wa ACT hautaathiri kura za Upinzani?
 
John Mrema watu wanafanya fitina usiku huu. Sasa nyie endeleeni kulala na kesho asubuhi msikague mabox ya kura kabla na baada ya kura.....
 
Nikiri tu ile hama hama ilikata morale kabisa ya wananchi Dar ilihitaji Watu wa amsha amsha kma Lissu mkoa mzima.

Hapo segerea angegombea Assenga au Agnesta. Hawa wangeshinda coz ya sababu ya hapo juu. Otherwise wategemee tu siku ya ufungaji wa kampeni Lissu atumie ushawishi wote alionao akiwa na Ponda na ndio itakua kete ya mwisho otherwise segerea na ubungo kinondoni temeke mbagala ni CCM asubuhi na mapema.
Hongera Sana mkuu kwa uchambuzi wako murua,kweli uliyosema yametokea. 2025 wimbo ni ule ule, tumeibiwa kura!
 
Back
Top Bottom