Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
- Thread starter
- #21
5 days to go.... Kampeni naona atakua anafanya nyumba kwa nyumba.... Segerea imepoa tuliiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Segerea tu! Kwa Dar hapa ni jimbo la Kawe pekee ndio chadema wanasikaka, kwingine kote hamna kitu5 days to go.... Kampeni naona atakua anafanya nyumba kwa nyumba.... Segerea imepoa tuliiii
Miaka mitano iliyopita niliandika uzi kuhusu jimbo hili baada ya kutomuona mgombea wa wakati huo akifanya kampeni za nguvu...
Julius Mtatiro toka mafichoni Segerea inakwenda
Leo narudia tena kumtahadharisha ndugu Mrema aanze kampeni mapema maana hajulikani sana ngazi ya jimbo. Hili jimbo si lelemama. Yule dada hajafanya lolote kwa miaka mitano jitahidi kutumia nafasi mapema.
Come out.....
Ilibidi wamwachie yule Dada mshindi maana alishajiandaa kisaikolojia miaka mingi tofauti na Mrema aliekurupuka dakika za mwisho.
Yule jamaa hayuko serious yawezekana hana mvuto kwa wapiga kura.5 days to go.... Kampeni naona atakua anafanya nyumba kwa nyumba.... Segerea imepoa tuliiii
Siyo Segerea tu! Kwa Dar hapa ni jimbo la Kawe pekee ndio chadema wanasikaka, kwingine kote hamna kitu
Yule jamaa hayuko serious yawezekana hana mvuto kwa wapiga kura.
Ubungo unalichukuliaje Jimbo Hili? Ukonga je?Siyo Segerea tu! Kwa Dar hapa ni jimbo la Kawe pekee ndio chadema wanasikaka, kwingine kote hamna kitu
Labda Kamuachia Maharagande Mbarala wa ACT5 days to go.... Kampeni naona atakua anafanya nyumba kwa nyumba.... Segerea imepoa tuliiii
Hiyo ndo mistake CDM walifanyaIlibidi wamwachie yule Dada mshindi maana alishajiandaa kisaikolojia miaka mingi tofauti na Mrema aliekurupuka dakika za mwisho.
Niliona amekanusha twitter kuwa hajamuachia jamaa wa ACT.Labda Kamuachia Maharagande Mbarala wa ACT
Ovyo kabisaNiliona amekanusha twitter kuwa hajamuachia jamaa wa ACT.
5 days to go.... Kampeni naona atakua anafanya nyumba kwa nyumba.... Segerea imepoa tuliiii
Yule tangu mwanzo hakutakiwa,alishinda mtu mwingine wakina Mbowe wakaona wampe Mrema ambae ni mvutoless,hakika Mrema atanyooshwa ipasavyo.Yule jamaa hayuko serious yawezekana hana mvuto kwa wapiga kura.
Mkuu ulikua unamfahamu Mtulia au mtolea kabla hawajashinda? Kma ambavyo Mnyika na Mdee walishinda out of nowhere na wabunge wapya utawajua baada ya matokeo kutangazwa.Don't Waste your time Chadema wamekwisha kubali kupoteza Dar Es salaam
Unamjua mgombea ubunge wa Upinzani wa Kinondoni, Ilala, Kigamboni, Mbagala na Temeke au Ukonga.
In short Chadema imelala sana
Dogo hayuko serious kabisa jimboni hata kampeni hapigi.Yule tangu mwanzo hakutakiwa,alishinda mtu mwingine wakina Mbowe wakaona wampe Mrema ambae ni mvutoless,hakika Mrema atanyooshwa ipasavyo.
CDM waliharibu sana hapo.Yule tangu mwanzo hakutakiwa,alishinda mtu mwingine wakina Mbowe wakaona wampe Mrema ambae ni mvutoless,hakika Mrema atanyooshwa ipasavyo.