BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Nje ya mada kidogo
Picha za wagombea kwenye karatasi za kura zingekuwa zinawekwa nzima nzima, Bonnah angeshinda kila uchaguzi
Mkuu Matola naheshmu maoni yako. Binafsi sioni hizo kampeni za mtaa kwa mtaa. Mimi ni mkazi wa huku nashinda huku nazunguka huku sioni hizo harakati. Ingawa kuna vikao vya usiku huwa nasikia hapo toto Tundu.Nakupa taarifa sahihi na siyo porojo za mitandaoni.
Bonna Kamoli akishinda segerea itakuwa ni moja ya maajabu hapa duniani.
Mrema anafanya kampeni, ila kampeni za sasa hivi kwa ngazi za udiwani na ubunge majukwaani unapoteza muda tu.
Kampeni zinafanyika kwa kuyafikia makundi maalum, vyama vya hiyari, timi za mpira mitaani, vicoba and likes.
Ukimya mnaouna ni ukata wa pesa, wagombea hawana pesa.
Bonna hatopigiwa kura na wanaccm wengi sana, hakubaliki kabisa amini ninachokwambia, kwenye kura za maoni alipita kwa kuhonga mpaka laki tatu kuna wajumbe watata walivuta.
Bonna akipewa tena ubunge kwa njia yoyote ile ni majuto kwa wanasegerea wote, ametumia pesa nyingi sana mpaka dakika hii, mtu wa aina akitangazwa mshindi ndio mmemalizana hamtoonana tena atakuwa bize kurudisha pesa alizotumia kuhonga.
Jimbo la Segerea halihitaji kelele nyingi tayari watu wana maamuzi yao wakiwemo wana ccm wengi tu.
Una mnyima vipi kura kiumbe kama huyuTuwekee hapa hiyo picha yake nzima, tutaamini vipi![emoji39]
Una mnyima vipi kura kiumbe kama huyu
Una mnyima vipi kura kiumbe kama huyu
Uwepo wa Mgombea wa ACT hautaathiri kura za Upinzani?Nakupa taarifa sahihi na siyo porojo za mitandaoni.
Bonna Kamoli akishinda segerea itakuwa ni moja ya maajabu hapa duniani.
Mrema anafanya kampeni, ila kampeni za sasa hivi kwa ngazi za udiwani na ubunge majukwaani unapoteza muda tu.
Kampeni zinafanyika kwa kuyafikia makundi maalum, vyama vya hiyari, timi za mpira mitaani, vicoba and likes.
Ukimya mnaouna ni ukata wa pesa, wagombea hawana pesa.
Bonna hatopigiwa kura na wanaccm wengi sana, hakubaliki kabisa amini ninachokwambia, kwenye kura za maoni alipita kwa kuhonga mpaka laki tatu kuna wajumbe watata walivuta.
Bonna akipewa tena ubunge kwa njia yoyote ile ni majuto kwa wanasegerea wote, ametumia pesa nyingi sana mpaka dakika hii, mtu wa aina akitangazwa mshindi ndio mmemalizana hamtoonana tena atakuwa bize kurudisha pesa alizotumia kuhonga.
Jimbo la Segerea halihitaji kelele nyingi tayari watu wana maamuzi yao wakiwemo wana ccm wengi tu.
Hongera Sana mkuu kwa uchambuzi wako murua,kweli uliyosema yametokea. 2025 wimbo ni ule ule, tumeibiwa kura!Nikiri tu ile hama hama ilikata morale kabisa ya wananchi Dar ilihitaji Watu wa amsha amsha kma Lissu mkoa mzima.
Hapo segerea angegombea Assenga au Agnesta. Hawa wangeshinda coz ya sababu ya hapo juu. Otherwise wategemee tu siku ya ufungaji wa kampeni Lissu atumie ushawishi wote alionao akiwa na Ponda na ndio itakua kete ya mwisho otherwise segerea na ubungo kinondoni temeke mbagala ni CCM asubuhi na mapema.