Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka Kupambana na Diaspora? Ajianda, kashindwa Mbowe ndio awe yeye?Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Huyu mwizi mbona anajishtukia, aanze kufungasha virago vyake kabla Lissu hajamfikia. Hawa wamechangia kutufikisha hapa tulipoKeshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Mshana JrGharama Ya kumtengeneza Dishi/Chizi/ yafika €333,000,000,000,000 wanadamu wanataka vitu duniani duuu
Ngoja nikasome masters niijue hii maada inamlengo gani 👑👑👑..
Hii mada ina harufu gani ya Maiti Iliyopelekwa mortuary au Maiti iliyokutwaa imeoza ndani na defender ya polisi
Nyuma ya pazia unatakiwa ukawe daktari wa Ugonjwa Gani!?
Ndiye alikuwa mtunga kauli mbiu wa kutegemewa.Hana lolote anawaz tumbo lake tu hapo kwanza alikuwa ana umuhimu gani ndani ya chama Maana sijawahi kumuona hata barabarani.
Ardhi bwana👑👑watu wamekuwa KODI
alizoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi,Anaunguruma nini?
Akae atulie, chama kimerudi kwa wananchi, alizoea vya kuchinja, vya kunyonga haviwezi.
Pale makao makuu Lissu anasafisha kote.
Uchaguzi umeisha rudini mkakijenge Chama mkiwa wamoja kama mlivyokuwa hapo kabla !Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Huo utakuwa ni Uzwazwa !Mnywa beer yule hajapenda kuondolewa
Huyu ndio nani katika siasa??? Mbona kama taarifa hii ina trend? Anaumuhimu wowote wa kupewa attention au ni mpuuzi wa kupuuzwa ambae anatumia uhuru wake wa kuandika..Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559