John Mrema kuunguruma tarehe 25 January

Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!

View attachment 3210559
Huyu mwizi mbona anajishtukia, aanze kufungasha virago vyake kabla Lissu hajamfikia. Hawa wamechangia kutufikisha hapa tulipo
 
Mshana Jr
Afisa Kipenyo OG
Da Vinci XV

Tumieni D2 zenu to uncode this😀
 
Hana lolote anawaz tumbo lake tu hapo kwanza alikuwa ana umuhimu gani ndani ya chama Maana sijawahi kumuona hata barabarani.
Ndiye alikuwa mtunga kauli mbiu wa kutegemewa.

Ajiepushe tu kupambana na Lissu. Halafu kimjini mjini kutukanwa ama kuzushiwa ni kawaida sana tu. AVUMILIE.

Maana miongoni mwa wale wanaotuhumiwa na yeye yumo. Asubiri upepo mbaya upite aje aseme anachotaka kusema.
 
Huyu aligombea ubunge 2010 vunjo kupitia Chadema na kushindwa na hayati Agustino lyatonga Mrema, hivyo Mh.Freeman Mbowe akamwajiri Makao makuu kama Mkurugenzi wa masuala ya bunge maanak alikuwa ndo kamaliza chuo ajira Hana ila Mbowe alimwona ni asset huko mbeleni...! 2015 alikuwa ndio kama kiongozi wa Kampeni akiongozana na Lowassa sehemu mbalimbali za nchi pia alikuwa ndo Mc shughuli za ufunguzi wa Kampeni...! Baadaye akawa ndo Mkurugenzi wa itifaki,mawasiliano na habari...! Mwaka 2020 alishindwa vibaya kwenye kura za maoni Jimbo la segerea ...! Lakini akarudishwa kugombea na Chama lakini kwenye uchaguzi alishindwa vibaya na Bonna Kaluwa...!
Hawa ni vijana wachache akiwemo ezekia wenje, munisi na nk ambao walikuwa karibu na mwenyekiti mstaafu Mh Mbowe, pia wamefaidi sana Ruzuku pale Makao makuu ambapo wanachama wengi wamekuwa wakilalamika ruzuku kuishia Makao makuu, na kashfa nyingi kama kupokea hongo na rushwa ili kuweza kupata nafasi ya ubunge hasa viti maalumu...ambapo yamekuwa malalamiko ya wanachama wengi
Mwenyekiti mpya aliyeingia atakuwa mwiba mchungu kwake maanak Mh Tundu lissu lazima aweke Timu ya ushindi, hapendi rushwa na matumizi mabaya ya Ruzuku...! Na pia ameumia swahiba wake Mh Mbowe na ezekia wenje kuangushwa
 
Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!

View attachment 3210559
Uchaguzi umeisha rudini mkakijenge Chama mkiwa wamoja kama mlivyokuwa hapo kabla !
Tukisema kwamba sometimes watu wengine inabidi wauache Ujinga na warudi kwenye Common sense zao za Asili nadhani tutakuwa tumeeleweka vizuri !!

Kwa sasa maadui zenu katika hizo Sihasa zenu watashikilia Bango matokeo ya Uchaguzi ili muweze kusambaratika !

Kuweni makini Acheni malumbano !
October iko karibu sana !
Au nasema uongo ndugu zanguni !!!
Yapo maisha pia nje ya Uongozi wa Si-hasa !

Tunahitaji Vyama viwili vyenye Nguvu Nchi hii vitakavyokuwa vikipokezana madaraka kama ilivyo kwa UK na USA !
Ukivurunda unang’olewa kwenye Uchaguzi wanaingia wengine !!

Bila hivyo hatuendelei Ng’o !!! 😳 !
 
Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!

View attachment 3210559
Huyu ndio nani katika siasa??? Mbona kama taarifa hii ina trend? Anaumuhimu wowote wa kupewa attention au ni mpuuzi wa kupuuzwa ambae anatumia uhuru wake wa kuandika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…