Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kapigwa kelebu huyuKeshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Ashauriwe kukaa kimya Itamsaidia sanaKeshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Ametumwa awachanganye Chagademas wenzie 😳😳🙄Huyu ndio nani katika siasa??? Mbona kama taarifa hii ina trend? Anaumuhimu wowote wa kupewa attention au ni mpuuzi wa kupuuzwa ambae anatumia uhuru wake wa kuandika..
Kwa wale waliokaribu naye wamkumbushe uchaguzi umeisha....Lissu hatavumilia sana matamko yasiyoimarisha Chama.Huyu mwizi mbona anajishtukia, aanze kufungasha virago vyake kabla Lissu hajamfikia. Hawa wamechangia kutufikisha hapa tulipo
Mrema ni mmoja tuu.Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559
Hakuongea kabla ya uchaguzi, anataka aseme nini na kitabadilisha nini wakati wajumbe wameamua na wananchi wameafiki!!Huo ni ukosa akili, akumbuke Lissu hajasema yote, akifungulia koki utaloa vibaya huyu.
Uchaguzi umeisha atulie
DuhHuyu aligombea ubunge 2010 vunjo kupitia Chadema na kushindwa na hayati Agustino lyatonga Mrema, hivyo Mh.Freeman Mbowe akamwajiri Makao makuu kama Mkurugenzi wa masuala ya bunge maanak alikuwa ndo kamaliza chuo ajira Hana ila Mbowe alimwona ni asset huko mbeleni...! 2015 alikuwa ndio kama kiongozi wa Kampeni akiongozana na Lowassa sehemu mbalimbali za nchi pia alikuwa ndo Mc shughuli za ufunguzi wa Kampeni...! Baadaye akawa ndo Mkurugenzi wa itifaki,mawasiliano na habari...! Mwaka 2020 alishindwa vibaya kwenye kura za maoni Jimbo la segerea ...! Lakini akarudishwa kugombea na Chama lakini kwenye uchaguzi alishindwa vibaya na Bonna Kaluwa...!
Hawa ni vijana wachache akiwemo ezekia wenje, munisi na nk ambao walikuwa karibu na mwenyekiti mstaafu Mh Mbowe, pia wamefaidi sana Ruzuku pale Makao makuu ambapo wanachama wengi wamekuwa wakilalamika ruzuku kuishia Makao makuu, na kashfa nyingi kama kupokea hongo na rushwa ili kuweza kupata nafasi ya ubunge hasa viti maalumu...ambapo yamekuwa malalamiko ya wanachama wengi
Mwenyekiti mpya aliyeingia atakuwa mwiba mchungu kwake maanak Mh Tundu lissu lazima aweke Timu ya ushindi, hapendi rushwa na matumizi mabaya ya Ruzuku...! Na pia ameumia swahiba wake Mh Mbowe na ezekia wenje kuangushwa
Mkuu jamaa ni mtu wa masanga vibaya sana mchekinhata afya yake.. anawaza pesa ya pombe ikizingatiwa mwamba ameapa kurudi kwenye biashara zake.Hakuongea kabla ya uchaguzi, anataka aseme nini na kitabadilisha nini wakati wajumbe wameamua na wananchi wameafiki!!
Huyu hakutegemea haya mabadiliko na pengine hakua amemaliza miradi yake sasa amepata shock na hajui ataanzia wapi kubaki relevant kwenye siasa.
Mkurugenzi wa itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa chadema.Huyu ndio nani katika siasa??? Mbona kama taarifa hii ina trend? Anaumuhimu wowote wa kupewa attention au ni mpuuzi wa kupuuzwa ambae anatumia uhuru wake wa kuandika..
Aliye karibu naye mshaurini akae kimya, nasikiaga huyu mke wake ni mmoja ya Covid 19, hii inamuondokea moral authority ya kuaminika.Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
View attachment 3210559