Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali,Msijaribu kuchafua ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa siasa uchwara zenu
Kwani yule aliemwambia kuwa hatashinda ubunge wa Jimbo la Hai alikuwa Polisi wa nchi gani?Huyo Mrema alikuwepo wakati hayo maneno yakisemwa?! Viongozi ni muhimu kujihadhari na maneno yanayoweza chochea chuki za namna yoyote.
Lazima ujue maana ya channel of command haiwezekani Rais wa Jamhuri ya Muungano akampigia directly RPC simu na kumpa maagizo. Kuna vyombo vingi vya usalama vinafanya kazi na makamanda wa Polisi. Na hiyo kauli ya Mrema ni propoganda dhidi ya kamanda wa Kinondoni tusubiri mambo yote yatajulikana mahakamaniKwan boss wa RC Ni Nani? Na mbona mawaziri wanatoa maagizo same time Rais
Ofisi Danguro la KAHABA WA FERI.Msijaribu kuchafua ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa siasa uchwara zenu
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
Naona wakikutana zipigwe kwanza tuone nani mwenye ubavu humo kisongoHata Sabaya aliambiwa na Mbowe safari hii ataozea jela.
Lakini sasa wote watakutana Kisongo
Upo sahihi,Lazima ujue maana ya channel of command haiwezekani Rais wa Jamhuri ya Muungano akampigia directly RPC simu na kumpa maagizo. Kuna vyombo vingi vya usalama vinafanya kazi na makamanda wa Polisi. Na hiyo kauli ya Mrema ni propoganda dhidi ya kamanda wa Kinondoni tusubiri mambo yote yatajulikana mahakamani
Chadema kwa kutunga uongo na kupotosha hamjambo.Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
Ma RC ni wateuliwa na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makamanda wa Polisi wa Mikoa ni wateule wa IGP. Ndio maana Rais huongea direct na Ma RCUpo sahihi,
Je,kwann RAIS hutoa maagizo kwa MA RC bila kupitia kwa mawaziri?
Hiyo chain of command unayoisema Ni ipi?
Yule tulimwona kwa ushahidi wa video. Na wenye kuitakia mema nchi yetu tulikemea hadharani,humu humu jukwaani.Kwani yule aliemwambia kuwa hatashinda ubunge wa Jimbo la Hai alikuwa Polisi wa nchi gani?
Hivi mnafikir hao Polisi wana sifa za kulinda usalama wa raia na mali zao?
We kenge kumbuka CDM wana mtandao mkali!Huyo Mrema alikuwepo wakati hayo maneno yakisemwa?! Viongozi ni muhimu kujihadhari na maneno yanayoweza chochea chuki za namna yoyote.
Tusifike kutukanana mkuu, hukuwa na haja ya kutamka hilo jina. Tujadili hoja kwa mapana.We kenge kumbuka CDM wana mtandao mkali!
Hata waliokuwepo pale (askari) huwa wanaleta hayo maneno 'uraiani'