John Mrema: Polisi alimwambia Mbowe "This time huchomoi tunakupa kesi ya Ugaidi"

John Mrema: Polisi alimwambia Mbowe "This time huchomoi tunakupa kesi ya Ugaidi"

Huyo Mrema alikuwepo wakati hayo maneno yakisemwa?! Viongozi ni muhimu kujihadhari na maneno yanayoweza chochea chuki za namna yoyote.
Mbona alitoa Press Release siku wamempeleka kumsachi mbowe kwake mikocheni na kesho yake misime wa polisi akasema wanampa kesi hiyo ya ugaidi
 
Mbona alitoa Press Release siku wamempeleka kumsachi mbowe kwake mikocheni na kesho yake misime wa polisi akasema wanampa kesi hiyo ya ugaidi
Wamesema wanampa kesi ya ugaidi au ‘wanamtuhumu kwa ugaidi’? Na je, ulisikia mahali huyo afande akisema ‘ Safari hii huchomoki’ kama Bwana Mrema alivyotabanaisha?
 
Wamesema wanampa kesi ya ugaidi au ‘wanamtuhumu kwa ugaidi’? Na je, ulisikia mahali huyo afande akisema ‘ Safari hii huchomoki’ kama Bwana Mrema alivyotabanaisha?
Hoja hapo alichosema mrema si ndiyo kesho yake misime alitangazia dunia
 
Askofu Benson Lwakalinda Bagonza (PhD) Ameandika:

KABLA YA KATIBA MPYA...

1. Kabla ya Katiba Mpya ya Afrika ya Kusini, Nelson Mandela aliitwa gaidi.

2. Kabla ya "Katiba Mpya" iliyoandikiwa Lancaster, Julius Nyerere alikuwa ni Mchochezi aliyekuwa nje ya gereza kwa kulipa faini.

3. Kabla ya Agano Jipya (Katiba Mpya), Musa alikuwa ni gaidi machoni pa Farao (Firauni).

4. Kabla ya ufufuko (Katiba Mpya) Bwana Yesu Kristo alikuwa na tuhuma za ugaidi na uhaini mbele ya utawala wa Kiyahudi.

5. Kabla ya Muswada ulioleta "Tamko la Haki kwa wote" (Katiba Mpya) huko Marekani, Mwanamke na mtu mweusi kudai kupiga kura ilikuwa ni kitendo cha ugaidi.

6. Kabla ya SUK huko Zanzibar, hayati Maalim Seif alikuwa gaidi, kibaraka wa Usultani na mtuhumiwa wa uhaini.

7. Kabla ya CCM Mpya ("Katiba Mpya"), Waitara, Prof Mkumbo, Mollel, Gekul, Katambi, Silinde, Kafulila, hayati Mgwira nk walikuwa vibaraka wa ubeberu na sasa ni wazalendo.

8.Kabla ya msiba wa kitaifa (Katiba Mpya), Mama SSH alikuwa ni Mshauri wa Rais (Asiyelazimisha ushauri wake), Sasa ni Mshauriwa (Asiyelazimishwa na washauri).

Tunajifunza Nini?

A. Ugaidi ni dhana na silaha ya mtawala dhidi ya mtawaliwa.

B. Muda ndio mwamuzi wa kweli na WA haki.

C. Watawaliwa huteseka; watawala hujuta.

D. Bora mateso kuliko majuto.

E. Katika harakati za kupata madaraka, kila aliyewahi kutawala aliwahi kuonekana ni gaidi mbele ya anaoshindana nao. Hata ndani ya CCM "Magaidi" ni wengi dhidi ya SSH.

Wanaomtuhumu Mbowe kuwa gaidi leo, watakuwa Magaidi wa mfumo wakati ujao.
Huyu askofu asimlinganishe Yesu na mambo ya ajabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
 
Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Una ushahidi
 
Kwa njama za kumuua kiongozi wa juu kabisa, shitaka lake ni TREASON: hukumu yake ni kunyonya mpaka kufa.

Há há há há há kweli siasa ni kitu kitamu.
Kesi siyo maneno ni ushahidi wa kuishawishi mahakama siyo maneno ya kuchonga
 
Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:

"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"

Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!

Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.

Nini maoni yako?
Huyu naye siku hizi kawa mwongo mwongo

Apunguze pombe
 
Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:

"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"

Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!

Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.

Nini maoni yako?
Maandalizi ya kumbambikizia KESI yalifanywa na Watawala kwani Kongamano la KATIBA MPYA Sio Rafiki kwako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe waliongea nae?! Mbn walisema hawajamuina hawa au wamesahau mara hii
Muwe mnasoma kwa utulivu siyo kukurupuka tu. Yeye amesema ni polisi ndiyo alimwambia hayo maneno na siyo Mbowe.
 
Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:

"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"

Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!

Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.

Nini maoni yako?
Kumbe hizi kesi unaweza kupewa kirahisi kabisa namna hii...God watch this...!!!
 
Gaidi hafai kuonewa huruma,Tena ningekuwa nimemkamata Mimi ,sasa hivi tungekuwa tunaimba parapanda
 
John Mrema ni mpuuzi fulani hivi, kuwa na kipara si kuwa na akili! Yeye na Mbowe ni wapuuzi sana, Mama Samia usiwalegezee hawa wajinga!
 
Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:

"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"

Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!

Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.

Nini maoni yako?
Waliomhoji Mrema,majibu yalishapatikana sio
 
Back
Top Bottom