Mnahukumu haraharaka Sana ...Aibu lHuyu naye siku hizi kawa mwongo mwongo
Apunguze pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnahukumu haraharaka Sana ...Aibu lHuyu naye siku hizi kawa mwongo mwongo
Apunguze pombe
Ameandika wapi? Mbona hajaandika kabla ya kuzaa na muumini na kumtekeleza na mtoto wake, kulikuwapo nini?Askofu Benson Lwakalinda Bagonza (PhD) Ameandika:
KABLA YA KATIBA MPYA...
1. Kabla ya Katiba Mpya ya Afrika ya Kusini, Nelson Mandela aliitwa gaidi.
2. Kabla ya "Katiba Mpya" iliyoandikiwa Lancaster, Julius Nyerere alikuwa ni Mchochezi aliyekuwa nje ya gereza kwa kulipa faini.
3. Kabla ya Agano Jipya (Katiba Mpya), Musa alikuwa ni gaidi machoni pa Farao (Firauni).
4. Kabla ya ufufuko (Katiba Mpya) Bwana Yesu Kristo alikuwa na tuhuma za ugaidi na uhaini mbele ya utawala wa Kiyahudi.
5. Kabla ya Muswada ulioleta "Tamko la Haki kwa wote" (Katiba Mpya) huko Marekani, Mwanamke na mtu mweusi kudai kupiga kura ilikuwa ni kitendo cha ugaidi.
6. Kabla ya SUK huko Zanzibar, hayati Maalim Seif alikuwa gaidi, kibaraka wa Usultani na mtuhumiwa wa uhaini.
7. Kabla ya CCM Mpya ("Katiba Mpya"), Waitara, Prof Mkumbo, Mollel, Gekul, Katambi, Silinde, Kafulila, hayati Mgwira nk walikuwa vibaraka wa ubeberu na sasa ni wazalendo.
8.Kabla ya msiba wa kitaifa (Katiba Mpya), Mama SSH alikuwa ni Mshauri wa Rais (Asiyelazimisha ushauri wake), Sasa ni Mshauriwa (Asiyelazimishwa na washauri).
Tunajifunza Nini?
A. Ugaidi ni dhana na silaha ya mtawala dhidi ya mtawaliwa.
B. Muda ndio mwamuzi wa kweli na WA haki.
C. Watawaliwa huteseka; watawala hujuta.
D. Bora mateso kuliko majuto.
E. Katika harakati za kupata madaraka, kila aliyewahi kutawala aliwahi kuonekana ni gaidi mbele ya anaoshindana nao. Hata ndani ya CCM "Magaidi" ni wengi dhidi ya SSH.
Wanaomtuhumu Mbowe kuwa gaidi leo, watakuwa Magaidi wa mfumo wakati ujao.
Kwa nini anashitakiwa. Anashitakiwa kwa kwa kutumia ushahidi uliyokusanywa. Nafurahia saana pingamizi za Kibatala na wenzake, hawajui hizo pingamizi zinamuongezea siku za kukaa ndani. Atakapofungwa labda itamsaidia kama itakubalika hizo siku kupunguzwa kwenye kifungo. The truth is atakula miaka.Una ushahidi
Kwahiyo unathibitisha maneno ya Kingai kuwa hachomoki, hata mwenendo wa kesi umeegemea kutochomoka.Kwa nini anashitakiwa. Anashitakiwa kwa kwa kutumia ushahidi uliyokusanywa. Nafurahia saana pingamizi za Kibatala na wenzake, hawajui hizo pingamizi zinamuongezea siku za kukaa ndani. Atakapofungwa labda itamsaidia kama itakubalika hizo siku kupunguzwa kwenye kifungo. The truth is atakula miaka.
[emoji1787]Ameandika wapi? Mbona hajaandika kabla ya kuzaa na muumini na kumtekeleza na mtoto wake, kulikuwapo nini?
Sisi watu wa Mungu tunamwamnia ACP Kingai This time yeye ndiye Hachomoki. Mark my wordsMkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
Hii issue ilishapangwa kwa pesa ndefu litambo. Alipofariki Magufuli walidhani kazi imeisha.Ni bahati mbaya sana CCM wanafanya haya kumuangamiza Rais na yeye hajui kuwa anaingizwa mkenge na kundi la kikafiri kutoka ndani ya CCM.
Baada ya haya yote lawama zote zitarudi kwa Rais na hawa majambazi aliyoyaapisha kwa mikono yake yatamgeuka na kujifanya yalitumwa na yeye. Arejee yaliyotokea baada ya kifo cha Magufuli.
This are very serious allegations...Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
Ile clip ya hai yule askari aliyesema hushindi muliiamini?Kwani ye ndio nani hadi tuamini?
Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
Kaweka tolori mbele ya punda.Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?