Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunasema hivi , mzigo ndio kwanza unaanzaManeno MAZITO sana Mungu ibariki Chadema
Kukombolewa na nan?umekaa kwa dada yako apo una uhuru wa kutosha unakula sembe ya shemeji bado wajiona uko kifungoni?Saa ya ukombozi yaja
Kusudi la kuundwa chadema unalijua?MUNGU atuepushie mbali.Maneno MAZITO sana Mungu ibariki Chadema
Mkuu umerukwa na akili ?Kusudi la kuundwa chadema unalijua?MUNGU atuepushie mbali.
Hata wewe ukianza kutumia akili zako za kichwa kikubwa sawasawa utaelewa,usitumie cha chini kufikiriMkuu umerukwa na akili ?
Eti bi Hangaya kanyang'anywa simu haruhusiwi kuongea na mtu yoyote hasa JK.Katiba mpya
Tume huru ya uchaguzi
Chadema digital
Pamoja na ubaya wa ccm lkn hatuko tayari kuona nchi inaongozwa na wahuni+waleviWatu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.
Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Pamoja na ubaya wa ccm lkn hatuko tayari kuona nchi inaongozwa na wahuni+walevi
Kodi za:Pamoja na ubaya wa ccm lkn hatuko tayari kuona nchi inaongozwa na wahuni+walevi
Unajuaje kama dada ndio kamuoa shemeji? Mbona mnapenda kusifia mashemeji wa wenzenu? Au ulitaka wewe uolewe na shemeji ili uwe dadangu!?Kukombolewa na nan?umekaa kwa dada yako apo una uhuru wa kutosha unakula sembe ya shemeji bado wajiona uko kifungoni?
Kwa hiyo tumpe yule dj mlevi nchi?nyie huko vichwani sijui kuna madudu gani,mnalipwa sh ngap kuongea huu upup?Kodi za:
Pombe
Sigara
Kamari
Ndio zinaendesha hii nchi.