Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Anataka amjibu kila member atakayeshiriki uzi huu.Mkuu umerukwa na akili ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka amjibu kila member atakayeshiriki uzi huu.Mkuu umerukwa na akili ?
Chadema ni mpango wa mungu gusa Mungu akujibuKusudi la kuundwa chadema unalijua?MUNGU atuepushie mbali.
Kusudi la kuundwa chadema unalijua?MUNGU atuepushie mbali.
Hebu tufungue masikio mkuu inaonekana unajua mengi sanaKusudi la kuundwa chadema unalijua?MUNGU atuepushie mbali.
Lazima huyu bibi adondokeChadema ni mpango wa mungu gusa Mungu akujibu
Kabisa
Unamaanisha nini mkuu !!?bi hangaya anaucheza mwingi
Hakika
Nchi haipati aibu!?Nchi imepata aibu kubwa sn
Hii mashine mashine siyo ya mchezo ,TULIA ,akisikia jina Hili lazima ajifiche chini ya Godoro, nilifanikiwa fika mkutano mmoja pale Mbeya kipindi Cha kampeni 2020, nikiwa pale Mbeya kikazi, nasema CHADEMA inawatu,ccm sijui ina nini, hachana kabisa na huyo BWANA kwenye jukwaa ya kisiasaMwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaid...
Gaid nae ana ujumbe?
Ni wewe na akili yako...Gaid nae ana ujumbe?
Kwenda shule sio lazima lkn kuna umuhimu wake...Blah blah blah hazisaidlii kitu
Gaidi ni gaidi tu
Nyumbu mnajidanganya Sana. Saccos imekongoroka, hamna hamu mmebanwa mbavu kila kona. Nabado, acheni kazi iendelee.Tunasema hivi , mzigo ndio kwanza unaanza
Chief. Hangaya Hoyee. Kaza hapo hapo mama mpaka magaidi yote yatokee kwenye madirisha kule saccos.Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaid
Tangu Mbeya waanze kuchagua CDM wamepata kipi cha ziada,?Watu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.
Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Baki na umasikini wa mawazo na mtazamo na huo ni mzigo mzito kwako,utue uwe huru.Gaid nae ana ujumbe?