John Mwambigija atoa hadharani Ujumbe wa Freeman Mbowe kwa Watanzania kutoka gereza la Ukonga

John Mwambigija atoa hadharani Ujumbe wa Freeman Mbowe kwa Watanzania kutoka gereza la Ukonga

Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaid...
Hii mashine mashine siyo ya mchezo ,TULIA ,akisikia jina Hili lazima ajifiche chini ya Godoro, nilifanikiwa fika mkutano mmoja pale Mbeya kipindi Cha kampeni 2020, nikiwa pale Mbeya kikazi, nasema CHADEMA inawatu,ccm sijui ina nini, hachana kabisa na huyo BWANA kwenye jukwaa ya kisiasa
 
Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaid
Chief. Hangaya Hoyee. Kaza hapo hapo mama mpaka magaidi yote yatokee kwenye madirisha kule saccos.
 
Watu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.

Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Tangu Mbeya waanze kuchagua CDM wamepata kipi cha ziada,?

Nilichoona ni SUGU kujenga HOTEK na kupata heshima ya MISUTI MJENGONI ..Maisha ya wanambeya ni yale yale.
 
Back
Top Bottom