Speed of light
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 313
- 284
Picha zote tatu ni yeye sio?
Mkuu ni huyo Wa Kati Kati? mbona Mzee Sana au maradhi?
poleni sana. hivi Yeriko nyerere ni mtoto wa nani kati ya hao nyerere jamani?
Picha ni moja, ungeuliza hivi "Je katika picha hii, ni John Nyerere katika mikao tofauti?"
kwahiyo unataka kuniambia, yeriko nyerere hana uhusiano wowote na familia au ukoo wa baba wa taifa hili? just curious, nataka kumfahamu yule dogo, ni mdadisi na msumbufu sana huwezi linganisha na umri wake. nilikuwa nasoma post zake sana ikabidi nimsome sana facebook na jf na kuangalia picha zake ni kitoto kidogo ajabu.Sasa huo uchokozi mkuu? Kwani yule mtaalam wa sheria Kenya ndg Patrice Lumumba ndio alikuwa waziri mkuu wa iliyokuwa Zaire?
mhuuuuu......... Yericko Nyerere pole sana
poleni sana. hivi Yeriko nyerere ni mtoto wa nani kati ya hao nyerere jamani?
kwahiyo yeriko sio ndugu wa akina nyerere?Yericko na ukoo wa Burito Nyerere wapi na wapi jamani?
Angekuwa Rizimomo tungesikia kafia Paris au Usa!
Poleni sana yericko nyerere pamoja na familia nzima