Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo yeriko sio ndugu wa akina nyerere?
Ni matusi kumwita. Yericho mtoto wa . Mwalimu. Nyerere. I am loosing my patience.
Lini na wapi niliwahi kukuthibitishia kuwa mimi ni mtoto wa Julius Nyerere?
Kwa uthibitisho upi mkuu? Wasifu wangu upo hapa jf kwa mda mrefu, Mhehe na Mzanaki wapi na wapi???
Usiwe muongo na mnafiki!
Mkuu ni huyo Wa Kati Kati? mbona Mzee Sana au maradhi?
kwahiyo unataka kuniambia, yeriko nyerere hana uhusiano wowote na familia au ukoo wa baba wa taifa hili? just curious, nataka kumfahamu yule dogo, ni mdadisi na msumbufu sana huwezi linganisha na umri wake. nilikuwa nasoma post zake sana ikabidi nimsome sana facebook na jf na kuangalia picha zake ni kitoto kidogo ajabu.
Tatizo mkuu nimesomea shule za kata nisamehe bure.
kwahiyo unataka kuniambia, yeriko nyerere hana uhusiano wowote na familia au ukoo wa baba wa taifa hili? just curious, nataka kumfahamu yule dogo, ni mdadisi na msumbufu sana huwezi linganisha na umri wake. nilikuwa nasoma post zake sana ikabidi nimsome sana facebook na jf na kuangalia picha zake ni kitoto kidogo ajabu.
Angekuwa Rizimomo tungesikia kafia Paris au Usa!
kwahiyo unataka kuniambia, yeriko nyerere hana uhusiano wowote na familia au ukoo wa baba wa taifa hili? just curious, nataka kumfahamu yule dogo, ni mdadisi na msumbufu sana huwezi linganisha na umri wake. nilikuwa nasoma post zake sana ikabidi nimsome sana facebook na jf na kuangalia picha zake ni kitoto kidogo ajabu.