samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Poleni wafiwa. nadhani ni huyo katikati kwenye picha.
Nyerere mwenyewe alifia London! Na alikuwa mjamaa!Angekuwa Rizimomo tungesikia kafia Paris au Usa!
mkuu kama ni wa katikati, mbona ni mzee sana, au ni maradhi? polen wafiwa, r.i.p john
Nipo Butiama nasikiliza mp 3 ya kitabu cha Three Lives cha. Lobsang Rampa.
mkuu kama ni wa katikati, mbona ni mzee sana, au ni maradhi? polen wafiwa, r.i.p john
Poleni sana!! Mungu jamani umemwacha nyoka makengezi ukachukua mtu mwema!! R.I.P
Utakumbukwa kwa uwezo wako mkubwa wa kumiliki vizuri Sana ndege vita MIG 29 uganda hawatakusahau pia