John Pambalu: 13/01/2025 Nastaafu rasmi kazi hii hatari ya Mwenyekiti wa Bavicha, Kwenye struggle ni lazima kuwa Real kwani imebeba Majonzi na Vilio!

Huyu wa juzi juzi kafanya jambo la kistaarabu na hekima ila kuna mtu ana miaka 20 anataka hadi angolewe kwa kwa fedheha.

Viongozi wa kitanzania ni wagumu sana kwenye suala la uwajibikaji( kuachia ngazi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…