Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wanajua Mbowe ni mlaini sn tofauti na Lisu pia wananchi wanamkubali sn Lisu kuliko Mbowe hivyo system haiwezi kukubaliTena ingemjengea heshima.
Sasa ona anavyodhalilishwa,Tena eti CCM ndio wanaomuunga mkono!!??
Daaa!