John Pambalu: 13/01/2025 Nastaafu rasmi kazi hii hatari ya Mwenyekiti wa Bavicha, Kwenye struggle ni lazima kuwa Real kwani imebeba Majonzi na Vilio!

John Pambalu: 13/01/2025 Nastaafu rasmi kazi hii hatari ya Mwenyekiti wa Bavicha, Kwenye struggle ni lazima kuwa Real kwani imebeba Majonzi na Vilio!

Attachments

  • 20241227_074220.jpg
    20241227_074220.jpg
    184 KB · Views: 3
Hizi ni fedha za umma hilo lipo wazi, kama anaweza kuwapa taifa star milioni 700 anashindwa nini kuchota bilioni 10 akaagiza mabasi ya chama, VOTE ya Ikulu haikaguliwi na mtu yoyote
Saa100 anatupiga, mnajisahau mnasema chadema,inapiga fedha!🤣
 
Back
Top Bottom